KARIBU USOME HADITHI NZURI ZA KUSISIMUA

Chombezo : Utamu Wa Shemeji Flora Sehemu Ya Pili (2)

SIMULIZI NZURI YA KUSISIMUA
IMEANDIKWA NA : ATHUMAN JAY
Alipofika ukumbini akamkuta Rozi yule dada wa kazi anapiga deki huku akiwa ameinama na kusababisha 'Kiwo wo woo' chake kibinuke kwa juu kimtindo.

"Daah kusema ukweli huyu binti naye ni mzuri lakini sasa nitamuanzaje kuongea naye?" Japhet alijiuliza peke yake moyoni huku akiingia chooni ambapo kilikuwa humohumo ndani kwa ndani. Ni kweli alikuwa bado ajamzoea kabisa binti huyu kwani Japhet mwenyewe alikuwa ni mgeni hapa kwenye nyumba hii ya kaka yake Lukasi pamoja na Shemeji yake Flora. 

Japhet alikuwa ndio kwanza na wiki moja tu tangu atoke huko kijijini kwao mkoani Dodoma alipokuwa anaishi na wazazi wake na kuja hapa mjini Dar es salaam baada ya kuitwa na kaka yake ili aje amtafutie kazi ya kufanya na yeye ajiingizie kipato. 

Akiwa yupo chooni Japhet akalichomoa ndani ya bukta 'Gobole' lake lililokuwa limesimama wima na kuanza kurusha mkojo ndani ya sinck. "Yaani hapa ngoja nifanye mpango juu na chini lazima nipate demu wa kutomba, maana sio kwa ugumu huu nilionao" aliendelea kujisemea Japhet.

Basi baada ya hapo akatoka chooni na kutokezea tena ukumbini akamuona Rozi bado anaendelea na kazi yake ya kudeki.

Safari hii aligeukia kwa mbele akiwa bado ameinama vilevile hapo Japhet akapata kuyashuhudia matiti mazuri ya binti huyo yaliyosimama vyema. Kutokana na blauzi aliyoivaa Rozi ilimfanya Japhet kuyaona matiti hayo mpaka na chuchu zake wakati Rozi akiwa anaendelea kudeki hapo ukumbini. Japhet akajikuta anasimama na kuduwaa kidogo mpaka Rozi naye akajishtukia. "Shikamoo kaka Japhet" Rozi alimuamkia. 

"Marhaba aujambo Rozi?" Japhet alijibu salamu na kuuliza. "Mimi sijambo kaka Japhet" Rozi alisema huku akimuangalia Japhet kwa macho ya chini chini yaliyochanganyika na aibu sehemu za mbele ya bukta ya Japhet akapata kuona muinuko wa 'Gobole' la kijana huyo jinsi lilivyosimama Dede. 

Rozi akajikuta anatabasamu. Kwa kuua soo ikabidi fasta Japhet aondoke na kuingia chumbani kwake na kujifungia mlango kabisa. "Duuh angalia sasa mpaka na huyu binti ameniona jinsi kulivyocharuka huku chini" Japhet alijisemea peke yake huku akicheka na kupanda kitandani. Lakini mara ghafla akasikia mlango wa chumbani kwake unagongwa kwa taratibu. Japhet akashtuka na kuanza kujiuliza ni nani huyo tena anaemgongea mlango je ni Shemeji yake Flora au ni dada wa kazi Rozi? Japhet akanyanyuka kitandani na kuelekea mlangoni kwenda kuufungua mlango ili akapate kumjua vizuri huyo mgongaji wa mlango huo wa chumbani!.


Baada ya kufika mlangoni na kuufungua Japhet macho yake yakaweza kukutana na macho ya Shemeji yake Flora huku akiwa anatabasamu la kupendeza usoni mwake ndani ya vazi la kanga moja tu.

"Samahani sana Shem wangu kwa kukusumbua, nilikuwa naomba uniazime chaji yako ya simu ile ya kwangu aipeleki moto kabisa kwenye simu" alisema Flora.

"Bila samahani Shemeji yangu, ngoja niende nikakuletee" alisema Japhet na halafu akarudi ndani na kwenda kumletea hiyo chaji Shemeji yake Flora. "Chaji hii hapa Shemeji" alisema Japhet na kumkabidhi. "Ooho ahsante sana Shem, nikimaliza kuchajia tu nitakurudishia" alisema Flora huku akiipokea chaji hiyo.

"Usijali kabisa Shemeji" alisema Japhet na baada ya hapo kila mmoja akaingia chumbani kwake. Japhet baada ya kurudi chumbani akajitupa kitandani huku mawazo yake yakimuwaza Rozi kwani tayari alikuwa ameshatokea kumpenda ghafla binti huyo. "Lakini vipi kuhusu kaka Lukasi na Shemeji Flora wakijua kama nimemtongoza Rozi sijui itakuaje?" alijiuliza Japhet huku akichukua shuka yake na kujifunika vizuri. "Lakini hata wakijua potelea kwa mbali, liwalo na liwe siwezi kufa na kiu na huku maji nayaona" alijisemea Japhet huku akitabasamu. Kiukweli ukiachana na ugumu aliokuwa nao wa kukaa muda mrefu bila sana bila ya kufanya mapenzi. 

Ndani ya moyo wake alitokea kabisa kumpenda Rozi tangu alivyomuona siku ya kwanza baada ya kufika hapa nyumbani kwa kaka yake lakini alikuwa anashindwa kuzionyesha hisia zake kwa binti huyo ambaye ni Dada wa kazi hapa nyumbani kwa kaka yake kwa kuhofia wenyeji wake yaani kaka yake Lukasi na Shemeji yake Flora watamfikiria vibaya. Lakini kwa hali hii aliyokuwa nayo ya kudindisha 'Gobole' lake akajikuta acha tu ajaribu Bahati yake kwa Rozi hata kama wakijua kama amemtongoza. 

"Kwanza cha kufanya hapa ni kumzoea huyu binti halafu ndio mambo mengine yatafuata" alisema Japhet huku akijipa moyo wa kishujaa. 'Gobole' lake nalo likazidi kumsumbua kwa kusimama mpaka mishipa ikawa inamuuma. Akayakumbuka Yale matiti ya Rozi yaliyosimama vyema kifuani jinsi alivyomuona ameinama pale ukumbini wakati binti huyo alipokuwa anapiga deki basi ndio akajikuta anazidi kupatwa na msukumo wa kumtongoza Rozi. "Daah kiukweli mtoto yupo vizuri, yaani ana chuchu nzuri za kunyonya" alijisemea Japhet huku akijilamba midomo yake.

INAENDELEA
Powered by Blogger.