KARIBU USOME HADITHI NZURI ZA KUSISIMUA

Chombezo: Mwajuma Utamu Sehemu Ya Kumi Na tatu (13)

Usiku wa siku hiyo nilihakikisha nimempagawisha Samir vya kutosha, ingawa kuna imani ipo kuwa wanaume ndiyo waliyozoeleka kuwa hatari zaidi wakati wa kufanya mapenzi na kuwaridhisha wanawake lakini kwangu ilikuwa ni kinyume chake, nilijua kufanya mapenzi na kumtoa jasho mwanaume, kukurukakara na purukushani zote za kitandani nilizijua.

Siku iliyofuata Samir alinilipa pesa kama tulivyokuwa tumekubaliana na huo ndiyo ulikuwa mwisho wa biashara yetu.
Japokuwa niliendelea kupata pesa lakini akili yangu ilikuwa ikifikiria kununua kiwanja kisha kuanza ujenzi wa nyumba yangu, nilikuwa nikifikiria pia kufungua biashara zangu mwenyewe.

"Fungua akaunti Facebook kisha Create page uanze kujitangaza, utapiga hela ndefu," alinishauri Savela nilipomuelezea mipango yangu.
"Hiyo imekaa vipi?" nilimuuliza.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/
"Ukifungua utakuwa ukipost picha na video za ngono halafu utakuwa ukitangaza biashara, lazima utapata wateja ila katika hizo picha utakazokuwa ukipost jaribu kuzikata kichwa usionekane," alinijibu kwa ufafanuzi kisha akaendelea kuzungumza.
"Biashara sasa hivi imebadilika, kuna wateja wengi sana mitandaoni, wapo baadhi ya wanaume wanaogopa kwenda Sinza kutafuta Malaya, wengine wanaogopa kuonekana, kwa kutumia njia hii ya mtandao ni lazima utawapata wateja wote hao tena wengine wapo nje ya nchi kama vile Kenya, Uganda na nchi nyingine," aliniambia.
"Na hao wateja wa nje ya nchi nitawafikiaje?"
"Wengine pesa ipo, wanakufuata au wanakutumia kila kitu, kazi yako ni kwenda kuwapa mapenzi tu."
Nilipoambiwa hayo nilishangaa, sikutaka kuamini kama mtandao wa Facebook ungeweza kunitengenezea kiasi kikubwa cha pesa kiasi hicho. Savela hakuishia hapo tu, aliendelea kuniambia jinsi biashara ya uchangudoa ilivyokuwa ikifanyika katika mitandao ya kijamii.

"Mmh ya kweli hayo?"
"Wewe endelea kuzubaa, wenzako tunazidi kupiga pesa hapa mjini, hatutumii nguvu nyingi halafu leo jioni kuna buzi mmoja naenda kukutana naye."
"Yupi huyo?"
"Ni wa Facebook, anaonekana ni mtu mwenye hela zake, leo lazima nikatanue nae," alinijibu Savela.
Nilihisi kuchanganyikiwa mno, nilipoambiwa biashara hiyo ilivyokuwa ikifanyika mitandaoni, nilitamani kuifanya.
Kwa kuwa nilimiliki simu ya kupangusa wala haikuwa kazi sana, nilichokifanya niliingia katika mtandao huo, nikajisajili, nikawa nina akaunti yangu, moyoni nilikuwa nina hamu kubwa sana ya kupata pesa na njia hiyo ndiyo niliiona kuwa rahisi ukitofautisha na ile ya kwenda kujiuza Sinza kwani kuna kipindi biashara ilikuwa ngumu kufanyika, muda mwingine wateja hawakupatikana kwa wakati.
Hakuna binadamu asiyeipenda pesa katika duniani hii, pesa ndiyo kila kitu, japo kuna baadhi ya watu hawaamini hilo, lakini huo ndiyo ukweli.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Sikia, mtu ukitaka kuvaa upendeze ni lazima pesa itatumika kununua nguo, ukitaka kula, kuishi maisha mazuri, pesa bado itahitajika na hii ndiyo sababu tunasema pesa ndiyo kila kitu.
Niliipenda pesa kuliko kitu chochote kile katika hii dunia, nilizaliwa katika familia yenye dhiki kubwa, wazazi wangu hawakuwa na pesa, niliishi maisha magumu mno nilipokuwa Mtwara, mpaka kufikia kipindi ambacho Bi Magreth mke wa Mzee Gidion anakuja kunichukua na kinileta mjini kwa lengo la kufanya kazi za ndani kiukweli sikutaka kuamini.
Kwa kuwa nilizaliwa katika familia iliyojaa dhiki hivyo nilitamani kuishi maisha mazuri. Kipindi ambacho Mzee Gidion alianza kunitongoza ilikuwa ni rahisi mimi kumkubalia kwasababu alitanguliza pesa, aliniahidi mambo mengi mazuri ambayo angeweza kunifanyia.
Naweza kusema tamaa ya pesa ndiyo iliyonifanya nikajikuta nikitembea na Daniel pamoja na Oscar.

Nilikuwa tayari nimeshafungua akaunti Facebook, nilikumbuka kufungua na ukurasa ambao niliutumia kupost picha zangu za utupu. Jina ambalo nilikuwa nikilitumia lilikuwa ni hili la Mwajuma Utamu.
Kazi niliyokuwa nimeibakiza mbele yangu ilikuwa ni mimi kujipiga picha za utupu kisha nikawa nazipost katika mtandao huo.

Mwanzoni wakati naanza kupost hakukuwa kuna like nyingi nilizozipata wala comment lakini kadri siku zilivyokuwa zikisonga ongezeko la watu waliyokuwa wafuatilaji wa ukurasa wangu huo waliongezekana tena kwa kiasi kikubwa sana.
Safari hii kila picha niliyokuwa nikiipost ilipata like nyingi na comment za kumwaga na hivyo wateja kuanza kujitokeza kwa wingi. Kwa kuwa niliweka namba yangu ya simu katika kila post, wateja hawakupata shida ya kunitafuta, walinipigia simu, tukaongea biashara na baada ya makubaliano biashara ya mapenzi ikafanyika.

Hayo ndiyo yalikuwa maisha yangu, nililala na wanaume wengi sana, ndani ya mwaka mzima nilikuwa nikiifanya biashara hiyo mpaka kufika mwaka 2013 nilikuwa tayari nimetengeneza kiasi kikubwa sana cha pesa.
Huwa sipendi kusimulia kila kitu nilichokuwa nikifanya wakati wa kufanya mapenzi kwasababu naamini maandishi haya yanasomwa na watu wa rika zote, ninachotaka kuwaandikia hapa ni mafunzo kwani biashara hii sio nzuri na sikushauri uifanye, nataka niwe mfano bora wa kukupa funzo fulani utakalojifunza baada ya kuisoma simulizi hii ya maisha yangu.
Kuna wasichana wengi sana hapa mjini ni matajiri, ni maarufu, wanapohojiwa na waandishi wa habari kusema siri ya mafanikio yao huwa wanadanganya, wanaficha kwa kusema kuwa wanafanya biashara inayowaingizia kiasi kikubwa cha pesa.
Sisemi haya kwa kuwakosoa wale wasichana wachapa kazi, wapo baadhi yao kweli wanafanya biashara, wameajiriwa katika makampuni makubwa na wanalipwa pesa ndefu tu.
Nilisafari mikoa mbalimbali ya nchi hii kama vile Mwanza, Arusha, Dodoma, Mbeya, Iringa na maeneo mbalimbali ya jiji la Daresalaam, nilikuwa nikiwafuata wanaume ambao nilienda kufanya nao mapenzi na ni kwasababu walikuwa na dau kubwa la pesa.


Siku ziliendelea kukatika, siku moja nilikutana na mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la Martin Sepeku, huyu alikuwa ni mfanyabiashara mkubwa sana hapa mjini.

Nilifanikiwa kulala naye, kwa kuwa nilifahamu alikuwa na pesa hivyo nilipanga kumpa mapenzi ambayo asingeweza kunisahau katika maisha yake, hilo nilifanikiwa tena kwa asilimia zote mia moja.
Taratibu akaanza kukolea, penzi langu likamlemvya. Katika kipindi hicho alikuwa bado hajaoa, alipofanikiwa kuuonja utamu wangu hakutaka kuukatisha, akaniambia kuwa alinipenda hivyo tukaingia katika mahusiano kwa miadi ya kunioa hapo baadae. Hilo halikuwa tatizo, nilimkubalia lakini moyoni mwangu sikumpenda isipokuwa nilizipenda pesa zake na huo ndiyo ulikuwa ukweli.
Sepeku akaanza kunionyesha mapenzi ya dhati, nilikuwa nina ndoto ya kumiliki nyumba, gari na vitu vingine vya thamani, vyote hivyo Sepeku aliahidi kunitimizia.

Baada ya kupita mwezi mmoja Sepeku alininunulia nyumba maeneo ya Msasani, ilikuwa ni nyumba ya kifahari na kama haitoshi pia akaninunulia gari pamoja na kunifungulia biashara mbalimbali.
Nilifurahi sana, ndoto yangu ilikuwa tayari imetimia lakini kama wasemavyo wahenga kuwa tabia siku zote hujenga mazoea, ndivyo ilivyokuwa kwangu, sikuacha biashara ya uchangudoa, niliendelea kuifanya lakini niliifanya kwa siri, Sepeku hakujua kilichokuwa kikiendelea katika maisha yangu.

Siku ziliendelea kukatika, baada ya miezi miwili kupita palianza kuzuka tetesi za jini mweusi ambaye alikuwa akiwachukua machangudoa na kwenda kuwaua.
Mauaji yalitokea na waliyokuwa wakiuwawa kikatili walikuwa ni machangudoa tu. Ni katika mauaji hayo Savela na yeye aliweza kuuliwa kikatili kisha mwili wake kutupwa katika ufukwe wa coco.
Kifo chake kiliniumiza mno, sio mimi tu niliyeumia zaidi bali hata machangudoa wengine waliumia pia.

Hali hiyo ilituogopesha sana, hatukujua muuaji huyo alikuwa ni nani na kwanini aliamua kufanya mauaji hayo. Kila changudoa alisema lake, tetesi ilizozagaa ni kuhusu Jini mweusi, yaani muuaji huyo aliitwa jini mweusi kwasababu waliyomuona walisema alikuwa akitembelea gari lenye rangi nyeusi.
Tetesi za jini mweusi zilitufanya tukaanza kuishi maisha ya hofu, kila changudoa akaanza kuwa makini na usalama wa maisha yake, gari lolote lenye rangi nyeusi lililoonekana likiingia na kupaki eneo hilo la Afrika sana tulipoliona tulikimbia, tuliamini ndiyo jini huyo mweusi aliyekuwa akiwaua machangudoa.

Hali ya sintofahamu ilitukumba, jeshi la polisi liliingilia kati, msako dhidi ya muuaji huyo ukaanza kufanyika lakini haikuishia hapo tu, pia walianza kuwakamata machangudoa na kuwafikisha mbele ya sheria.
Powered by Blogger.