KARIBU USOME HADITHI NZURI ZA KUSISIMUA

Chombezo: Mwajuma Utamu Sehemu Ya Kumi Na Mbili (12)


"Nipe laki mbili tukalale baby wangu," nilimjibu.

"Hakuna shida," aliniambia kisha tukaenda kulala kwenye lodge moja, huko hakukuwa na maongezi mengi zaidi ya kufanya mapenzi tu.

Nilikuwa nikijua kufanya mapenzi kuliko kitu chochote hapa duniani, nilijua kucheza mpira dakika zote tisini, mwanaume niliyelala naye nilihakikisha nafanya naye kila aina ya staili, nilijitoa ufahamu wakati wa kufanya mapenzi.
Kama ni kukata viuno basi nilikata sana siku hiyo, yaani kila nilichokuwa nikikifanya kilikuwa ni cha tofauti.

Hapa ndipo wanawake wengi wanapofeli, unakuta umeolewa na mwanaume na umeishi naye kwenye ndoa zaidi ya miaka kadhaa na tayari mmefanikiwa kupata watoto.

Maisha yanazoeleka, unafika wakati hata tendo la ndoa unafanya kwa mazoea kwasababu umeshamzalia watoto mumeo basi unaamini hawezi kuchepuka, ataendelea kuwa wako.

Maisha hayo mwanaume hawezi kuyavumilia, mwisho wa siku kisirikisiri atatafuta mchepuko wake au kwa wale wasiopenda kuwa na michepuko wanaangukia mikononi mwa Malaya, wanayofanyiwa wakati wa tendo la ndoa yanawashangaza na taratibu anajikuta akimsahau mke wake.



ITAENDELEA 

Powered by Blogger.