KARIBU USOME HADITHI NZURI ZA KUSISIMUA

Simulizi : Shida Sehemu Ya Kumi na mbili (12)

Hadithi nzuri ya kusisimua ya shida
"Naomba kila mtu atupishe tumshughulikie mgonjwa kwanza" akajibu Dokta

Watu wote wakaondoka pale ndani huku wakiwa hawaelewi nini kimemtokea Shida

Baada ya watu wote kutoka nje

Shida aliamka na kukaa, hali ile ilimshtua sana dokta



"Shhh*****hhhiiii***iiii!!!!" akamfanyia daktari ishara ili anyamaze



Songa nayo sasa…




Daktari alishtuka sana na kushangaa sana yule mgonjwa aliyeonekana kuwa hoi sasa ameamka mzima.

"Dokta samahani, nahitaji msaada wako sana,tafadhali sana" alisema

"Una tatizo gani binti? Mbona unanitisha?" akasema Daktar

"Nina matatizo makubwa sana,naomba unisaidie tafadhali" aliendelea kuomba

"Haya nieleze mwanangu" akasema

Ikabidi Shida aanze kueleza historia ya maisha yake kutoka mwanzo!

Shida aliendelea kumsimulia yule daktari matatizo yote aliyokutana nayo kabla hajafika pale hospitalini

"Pole sana binti,sikujua kuwa umepitia matatizo makubwa hivyo" alisema

"Ahsante dokta" akajibu

"Kwa hiyo unachoogopa ni kuwapa taarifa polisi kwa nini?" akauliza dokta

"Ana pesa dokta, anaweza kufanya chochote na kuniua kabisa, mimi nataka aamin kuwa nilishakufa basi" akasema Shida

"Kwa hiyo unataka nikusaidie nini?" akauliza

"Naomba unitafutie namna nitoloke hapa hospitalin mimi nitajua cha kufanya huko mbele ya sfari" akasema Shida

"Unanipa wakati mgumu sana Shida,si unajua kuna askari anakulinda hapo nje?" akasema

"Najua dokta ila nakuomba sana,fanya kama mimi mwanao nisaidie tafadhal" akasema

"Sawa nitaangalia cha kufanya" akajibu

Mchana askari walikuja ili wapate maelezo kutoka kwa Shida ila bado hakuwa tayali kuongea na daktari yule akaendelea kushaur wamwache mpaka atakapokuwa sawa

Jioni wakati dokta anaondoka alimfata Shida pale chumbani kwake

"Huu ufunguo ni wa madilisha haya,watakuja kuyafunga baadae,wewe unachotakiwa kufanya ni kufngua dirisha na kutoloka,utanikuta hapo nje ya geti nimepali Rav 4 nyeupe na tutaondoka wote" akasema dokta

"Nimekwelewa dokta ila naomba nisikubebeshe mzigo,mimi nikishatoloka ntajua pa kwenda" akasema

"Hapana Shida nimeamua kukusaidia kama mwanangu" akasema dokta

"Nashukulu kwa wema wako dokta" akasema



* * * *



Dokta akaondoka na kumwacha Shida akiwa na matumaini makubwa sana.

Kweli kama alivyoambiwa na dokta manesi walikuja kufunga madirisha na kisha wakahakikisha yuko katika hali salama wakaondoka

Giza lilipoanza kuingia Shida alijiandaa na kufungua dirisha lile kama alivyoelekezwa na dokta na kisha akatoka nje

Alifanikiwa kufika nje ya geti na kuiona gari ya dokta kama alivyoelekezwa na akaingia ndani

"Nashukulu kama umeweza kufanikisha hili mwanangu" akasema dokta

"Nashukulu sana dokta na uzidi kubalikiwa" akasema Shida

Gari iliwashwa na kuondoka moja kwa moja kuelekea nyumbani kwa dokta yule

"Naitwa dokta Eliasi" aliongea wakati wakifika nyumbani kwa dokta

"Naishi na wafanyakazi wangu hapa,nina mtoto mmoja yuko Dar na yeye ni daktari kama mimi,mke wangu alifariki zamani sana" aliendelea kujitambulisha

"Nashukulu kufaham hayo dokta" akasema Shida

"Karibu sana nyumbani" akasema dokta

"Ahsante sana dokta" akajibu

Shida alianza maisha mapya pale nyumbani kwa Dokta Elia akiwa na amani kias tofaut na alipokuwa nyumbani kwao.

Aliishi kama yuko nyumbani kwao, yule daktari alimtambulisha kama mwanaye kwa wale wahudumu wa pale.

Kila jioni alikuwa akimchukua na kuanza kumtembeza sehemu mbali mbali za mji wa Singida ili awe mzoefu

"Nataka nikutafutie shule nzuri uendelee na masomo yako unasemaje?" alisema siku moja dokta

"Nataka sana na nataman sana" akajibu Shida

"Jitahidi uishi hapa kwa aman,fata masharti yangu na utpata chochote kile" akasema dokta

Alimtembeza sehemu mbali mbali huku akimnunulia nguo nzur nzur ambazo zilimpendeza sana

"Nataka nikununulie zawadi nzuri sana" akasema dokta siku moja

"Zawadi gani hiyo dokta" akauliza Shida

"Usijal utaiona" akajibu

Waliendelea kuishi kwa upendo na amani kwa muda mrefu sana .

Baada ya miezi michache Shida alianzishwa masomo kidato cha tatu

Siku moja usiku akiwa amelala dokta aliingia chumbani kwake

Alipoingia alimwamsha Shida

"Shida, nimekuletea zawadi yako niliyokuahidi" akasema

"Dokta mbona ni usiku sana, iko wapi?" akasema Shida

"Hii hapa ila ina masharti" akasema

Alitoa laptop nzuri sana na simu ya gharama kubwa na kumpatia Shida

Shida alifurahi sana na kumkumbatia dokta

"Ahsante kwa upendo wako dokta" akasema

"Usijal, utapata vitu zaidi ya hivyo,ila naomba unisikilize,tangu mke wangu afariki sijawah kuishi na mwanamke, ila tangu umekuja humu ndani, umeibadilisha akili yangu sana, nakuhitaji Shida, kubali niziondoe shida zako zote, naomba uwe wangu tafadhal" akasema dokta.

Hakutegemea kukutana na kitu kama kile kutoka kwa yule Dokta.

Kutokana na msaada aliompatia na jinsi walivyokuwa wakiheshimiana alimchukulia kama baba yake mlez

"Lakini wewe si ni kama baba yangu?" aliuliza

"Baba yako? Mimi sina nia mbaya na wewe Shida, mke wangu alishafariki na hilo unalifaham,sasa kuna ubaya gani nikikuoa? Nishasema sikuchezei bali nahitaji kukuoa" akasema

"Sawa Dokta ila wewe ni mkubwa sawa na baba yangu mzazi" akajibu Shida

"Nafaham hilo, lakin angalia faida zaidi na usiangalie hasara Shida, mimi sijakubaka na nimekusaidia mengi na bado naendelea kukusaidia, nimekwambia uwe mke wangu na sio kukuchezea" akajibu Dokta

"Dokta mimi siko tayali kwa kweli,siwezi kukuvulia nguo,nakuchukulia kama baba" akasema Shida

"Sikulazimishi ila kaa mwenyewe uangalie faida na hasara za kunikataa" akasema Dokta

"Una maanisha nini dokta?" akauliza

"Namaaanisha angalia ni mambo mangapi nimekusaidia na ni mangapi nitaendelea kukusaidia na upime na misaada hiyo ikiondolewa na kupandikizwa chuki kitakachotokea ni nini?" akajibu Dokta

"Dokta kuwa basi na utu, kwa nini mimi nimekuwa mtu wa kunyanyaswa peke yake?" akauliza

"Nimekunyanyasa? Msaada wote niliokupatia bado unadai nakunyanyasa?" akajibu Dokta

"Dokta nikikataa utanisemea polisi na kumfikishia taarifa baba kuwa niko hai?" akaendelea kuuliza Shida

"Sijasema hivyo, ila usishangae tukifika huko,naamin hata wewe ukitendewa hivi unavyotaka kunilipa utachukia na matokeo ya hasira ni mengi" akajibu

Shida akabaki kwenye mtihani mzito juu ya kufanya yale maamuzi

Alifikilia kwa muda mrefu sa mwishowe akaona hana jinsi zaidi ya kukubaliana na hali halisi

"Dokta naomba tuwe wapenzi peke yake ila sio kuwa mkeo, na naomba iwe siri tafadhal" akajibu huku akiona aibu Shida

Dokta alipatwa na furaha ya ajabu,hakutegemea kumpata Shida kwa urahisi kiasi kile, alijipanga ikibidi kumbaka kama ataleta upinzani wowote.

Alimsogelea na kuanza kumpapasa sehemu mbali mbali za mwili wake.

Shida alionesha ushilikiano ingawa alikuwa akiona aibu kubwa sana.

Baada ya muda kila mmoja alikuwa tayali kwa ajili ya mpambano ule.

Dokta alijitahidi kumfanyia Shida kila kitu pale kitandani ili afuahie lile tendo

Na kweli kwa mara ya kwanza Shida alijikuta akifurahia tendo lile

Walipomaliza kila mmoja alikuwa amechoka na kugeukia upande wake na kulala.

Asubuhi walipoamka kila mmoja alimuonea aibu mwenzake na kila mmoja akaondoka kuendelea na shughuli zake

"Mmmh! Kumbe ni raha vile?" aliwaza Shida akikumbuka penzi tamu alilopewa na Dokta

Taratibu upendo ukaanza kukua kati ya Shida na Dokta yule

Kila sehemu wakaanza kwenda pamoja kwenye gari la Dokta

Kwa wakati huo hakuogopa mtu yeyote yule aliona sawa kuwa na Dokta kwa sababu hakuwa na mke



**********

Powered by Blogger.