KARIBU USOME HADITHI NZURI ZA KUSISIMUA

Simulizi : Shida Sehemu Ya Kumi na tatu (13)

Hadithi nzuri ya kusisimua ya shida
Ilifika hatua Dokta akiingia shifti ya usiku wivu ulimpata Shida na kufikilia kuwa labda atakuwa na mwanamke mwingine

Baada ya miezi mitatu ya uhusiano nyumba ile ilipata mgeni.

Kijana wa pekee wa Dokta huyu alikuja kuwatembelea baada ya kupata likizo

Kuja kwa kijana huyu katika nyumba hii kulibadilisha kila kitu katika maisha ya Shida

Baada ya kukaa siku chache pale nyumbani alianza kutengeneza mazoea na Shida

"Ila David inabidi uniheshimu kama mamdogo wako,mimi ni mke mtarajiwa wa baba yako" alisema siku moja Shida baada ya kuona mazoea ya Daiv yanazid

"Mamdogo wapi? Hutu mzee kabug vibaya mno,haiwezekan akuchukue wewe saiz yake inabidi wewe uwe wangu" alimjibu David

"Haitawezekana David,huoni aibu kushare na baba yako?" akauliza Shida

"Nikwambie kitu?" akasema David

"Nambie mwanangu" akasema Shida

"Leo lazima mimi na wewe tufanye mapenzi,siwez kukubali niwe nakuangalia ulivyoumbika anafaid baba yangu peke yake" alisema David

Pale pale David akamsogelea Shida na kumshika kwa nguvu

Vurugu ilianza pale pale sebuleni Shida akipambana kutoka mikononi mwa David na David naye akijitahid ili afanikishe lengo lake

"Nabakwaaaaaaaaaa" aliongea kwa nguvu Shida

Bahati nzuri kwa David ni kuwa yule mfanyakazoi wao wa ndani alikuwa ameenda sokon

David alimuachia Shida na kisha akaongea

"Kuna mawili hapa,ukubali kufanya mapenzi na mimi au nimtafute baba yako wa kambo na kumpa taarifa kuwa uko hai na hujafa" alisema kwa kujiamin David

Shida alishtuka sana kusikia David anajua siri yake ile ambayo aliamin ni yeye na Dokta peke yao walioifaham.

"Baba gani? Wewe una kichaa?" akasema Shida

"Yawezekana kweli nina kichaa ila kwa taarifa yako namfaham Alex kuliko hata wewe,na nina ma wasiliano naye ya kalibu" akajibu David

Pale pale David alichuku simu yake na kumwonesha Shida namba ya Alex

"Haya sema hiyo ni namba yake au sio?" akauliza kwa mbwembwe.

Shida alijikuta mkojo unapita kwa woga aliokuwa nao,hakutarajia kukutana na kitu kama kile kwa wakati huo

"Sasa ni wakati wako wa kuamua kuwa mpenzi wangu au hapana,ila kaa ujue nakupenda sana Shida,niko tayali kukuoa achana na baba alishazeeka" akajitahidi kubembeleza David

David hakusubiri Shida akubali ombi lake alimfata Shida na kuanza kumpapasa mwilini

"Dokta umenisaliti,umetoa siri yangu kwa mwanao sasa nadhalilika kama mjinga" aliwaza Shida

"David hapa tunaweza kukutwa,naomba twende chumbani basi" alilalamika Shida

David hakuwa mbishi ingawa alikuwa na hamu kubwa ya kufanya mapenzi

Alichofanya ni kumbeba Shida mpaka kwenye chumba chake yeye David na kumlaza kitandani

Alianza kwanza kumwangalia Shida alivyoumbika, aliangalia kiuno kilivyogawanyika na alivyokuwa amebeba usafiri wa haja akajikuta mate yakimdondoka

Alivua nguo na kisha akamvua na Shida nguo zake na kisha akamparamia moja kwa moja mwilini

"David jaman hata huniandai" alilalama Shida

"Aaaah! Samahan Shida unajua uzuri wako umenichanganya sana" akajibu David

Taratibu alianza kumwandaa Shida na yeye alijitahidi kujibu mapigo yale na mwisho wote wakanogewa na kuanza kuelea kwenye bahari ya mapenzi.

Penzi alilopewa Shida na David lilikuwa tamu sana kiasi kwamba mwenyewe alijishangaa,alifurahia kupata penzi la kijana mwenzake aliyeweza kumbusu bila aibu na kumshika popote alipotaka bila tatizo

Baada ya penzi lile akili ya Shida ilijikuta kwenye wakati mgumu sana

"Huu ni mtihani wa uhakika, ndani ya nyumba moja baba na mwanae wote wananipenda na wote wanafaidi penzi langu, baba amenisaidia mengi ila kosa lake ni kutoa siri, mtoto anapenzi tamu na nikiri nampenda yeye,nifanyeje?" Shida alijikuta katika kipindi kigumu sana.

Maisha ndani ya nyumba ya Dokta yaliendelea kwa mtindo huo huo,mchana kijana anafaidi penzi la Shida na usiku mzee na yeye anafaidi.

Shida alifurahia zaid penzi la David kuliko baba yake kwa sababu David alikuwa anajituma sana kitandani tofauti na baba yake ambaye yeye alikuwa akishaenda mshindo mmoja basi anachoka na kugeukia upande wake na kulala.

"David nahisi nakupenda sana" siku moja Shida alimwambia David

"Nini kinakufanya uhisi hivyo?"akauliza David

"Penzi David,penzi unalonipa ni tamu sana" akajibu Shida

"Mbona na mzee anakupa penzi tamu?" akasema David

"Mzee mchovu sana,hawezi bana" akasema Shida

Hayo ndo yakawa maisha ya kila siku pale ndani.

Baada ya muda wa wiki moja wanasema penzi ni kikohozi na haliwez kujificha na ndivyo ilivyotokea kwa David na Shida

Baada ya muda house girl wao alianza kushtukia nyendo zao pale ndani.

Siku moja alipotoka sokoni alishangaa kutowaona Shida na David pale ndani wakati aliwaacha pale.

Alishangaa na baada ya muda kumwona David akitoka chumbani mwa Shida huku akiwa kifua wazi

Baada ya David akumwona yule binti alishtuka sana

Aliingia chumbani kwake ghafla na kuanza kuwaza anachopaswa kufanya ili kuzuia hili swala lisifike kwa baba yake



Baada ya kuwaza kwa muda mrefu sana ikabidi amfate Shida chumbani kwake

"Mambo yameharibika Shida" akasema David

"Kivip?" Shida akauliza

"Housegirl amejua uhusiano wetu na iwe isiwe hawezi kutunza siri na nafikili unajua walivyokalibu na baba" akasema David

"Umejuaje kuwa kajua?" akauliza Shida

"Wakati natoka humu nimekutana naye hapo nje,nahisi alikuwa anatusikiliza kila tulichokuwa tunafanya na aliponiona amekimbia" akajibu

"Mungu wangu tumekwisha,tutafanyaje David" akasema kwa hamaki Shida

"Itabidi tutoloke na kwenda kuishi pamoja" akashaur David

Hali ilikuwa tete kati ya Shida na David kwani kila mmoja aliona wazo lake kuwa bota zaidi.

Wakati wakiendelea kubishana pale simu ya Shida ilianza kuita na alipochukua ili kuangalia aliyempigia akakuta ni Dokta

"Mama yangu! Tumekwisha" alisema kwa hamaki Shida

"Vip tena?" akauliza David

"Anapiga! Anapiga" akasema tena Shida

"Nani baba?" akauliza David

"Ndiyo,anapiga" akajibu Shida

David naye alishtuka sana,akamnyakua simu Shida na kuangalia na kweli akakuta alyekuwa akipiga ni Baba yake

"Shida hatuna muda wa kupoteza,namjua baba yangu vizuri sana atatuua,hana mzaha"akasea David

"David mimi siwezi kutoloka,baba yako ni mpole na mwelewa naamin atanielewa,nasubir nione kama ameambiwa nitaomba msamaha na mimi na wewe basi" akasema Shida

"Wewe humjui baba ee? Mpole? Unajidanganya! Unajua kilichomuua mama? Na mamdogo je? Pole sana mimi nakimbia" akajibu David na kumwacha Shida njia panda

Wakati wanabisha pale ujumbe ukaingia kwenye simu ya Shida



"WEWE MBWA UMESAHAU MEMA NILIYOKUTENDEA? HAYO NDIYO MALIPO YAKO? KAMA ULIDHANI ATAKAYEKUUA NI BABA YAKO ALEX BASI ULIKOSEA,NITAKUUA KWA MIKONO YANGU" Ilisomeka hivyo



Baada ya Shida kuisoma ile meseji alijikuta akipiga kelele mwenyewe bila kujielewa kutokana na uoga

Baada ya Shida kupiga ile kelele David alishtuka na kuichukua ile simu akasoma ile sms na yeye akachanganyikiwa

"Shida baba atatuua! Ila bora tutoroke yawezekana ikawa pona pona yetu na naamin kwa sasa yuko njian" akasema David

Hakusubiri jibu la Shida alichokifanya ni kutoka na kwenda chumbani kwake na kuchukua ATM card na vitu vyake vichache kisha akaja na kumshika mkono Shida aliyekuwa kapigwa na bumbuwazi na kumvuta mkono ili waondoke

Walipofika sebuleni walimkuta mfanyakazi akiwa anaongea na simu



**********
INAENDELEA

Powered by Blogger.