KARIBU USOME HADITHI NZURI ZA KUSISIMUA

Chombezo : Utamu Wa Shemeji Flora Sehemu YaNne (4)

SIMULIZI NZURI YA KUSISIMUA
Baada ya Shemeji yake Flora kuwa ameondoka kulekea huko saloon kwake huku nyuma kijana Japhet aliendelea kuangalia vipindi mbalimbali kwenye TV ikiwemo Tamthilia pamoja na Muziki Lakini mawazo yake bado ayakuacha kumuwaza Rozi huyu Dada wa kazi wa hapa nyumbani kwa kaka yake. 

"Angalia kama hivi tumebakia wawili tu nyumba nzima hapa si ndio kwa kufanya mambo sasa" alijisemea Japhet huku akitabasamu na kunyanyuka kwenye kochi alipokuwa ameketi halafu akaelekea chumbani kwake kuchukua simu yake aliyoiacha mezani. 

Rozi naye baada ya kumaliza kuosha vile vyombo walivyokuwa wamekunywa chai sasa akawa anajiandaa akaoge ili apate kwenda sokoni kununua mahitaji kwa ajili ya chakula cha mchana hivyo akaingia chumbani ili akabadilishe nguo ndio aingie bafuni kuog halafu aende zake sokoni. Wakati Rozi akiwa chumbani huku Japhet naye alikuwa ndio anatoka chumbani kwake alipoenda kuichukua simu yake sasa wakati yupo ukumbini akitaka kurudi tena kule sebuleni ndio ghafla sijui Akili gani ikamtuma aende kuchungulia chumbani kwa Rozi. 

Japhet akaanza kunyata taratibu hadi mlangoni na kuifunua Panzia kwa Bahati nzuri akaukuta mlango upo nusu wazi kwani Rozi hakuwa ameufunga kwa ndani hivyo Japhet akapata nafasi ya kumpiga chabo (Kumchungulia) kwa urahisi kabisa. Rozi naye huko chumbani hakuwa anajua kama anachunguliwa na Japhet aliyekuwa amejibanza mlangoni ukumbini mawazo yake yote Rozi alijua kijana huyo yupo sebuleni anaangalia TV. 

Hivyo taratibu akasogea kwenye kabati kubwa la nguo lililokuwa humo chumbani na kuanza kujiangalia kwenye Kioo. "Mmh yaani sio siri jamani nimetokea kweli kumpenda kaka Japhet, sijui kama atavutiwa na mimi mfanyakazi za ndani" alijisemea Rozi kwa sauti ndogo ya chini huku akijigeuza geuza pale mbele ya kile Kioo na kutabasamu. "Lakini hata hivyo kaka Japhet atakuwa na yeye kanipenda mbona alikuwa ananiangalia sana pale mwanzo wakati nilipokuwa napiga deki ukumbini" aliendelea kujisemea Rozi huku akianza kuivua blauzi yake aliyokuwa ameivaa na kuanza kujitomasa matiti yake huku akijifikicha chuchu zake na kutamani hata Japhet aje ayanyonye. "Aaaashii jamanii nasikia rahaaaa natamani atokee mtu wa kunifanyia hivi" alisema Rozi huku akifumba macho yake. 

Kumbe Ugumu sio kwa Japhet tu peke yake hata na kwa upande wa Rozi naye ugumu ulikuwa umejaa tele ukitafuta mtu wa kwenda kuutoa. Maana tangu atoke kijijini kwao huko mkoani Iringa na kuja kufanya kazi za ndani hapa nyumbani kwa Lukasi kaka yake Japhet miezi sita iliyopita alikuwa ajapata hata Mwanaume wa kumkumbatia japo kidogo tu. Wakati Rozi akiendelea kujitomasa mwilini mwake huku napo Japhet alikuwa anamuangalia mwanzo hadi mwisho jinsi mtoto wa kike alivyokuwa anajichetua na kuonyesha kweli ameelemewa na mzigo wa Mahaba. 

"Duuh mcheki mtoto anavyovutia" Japhet alisema na kuanza kulitoa ndani ya Pen's 'Gobole' lake lililokuwa tayari limechachamaa mpaka kufikia hatua ya kutema Yale maji mepesi ya mlenda ya 'Kusafishia njia' Japhet naye hali yake ilizidi kuwa tete mpaka akajikuta anasimamia kucha hapo mlangoni. Rozi naye akaona haitoshi akavua kabisa na sketi yake pamoja na Chupi akabaki mtupu kabisa kama alivyozaliwa halafu akaenda kupanda kitandani na kujipanua mapaja yake na kuanza kujitia vidole kwenye 'K' yake huku akianza kutoa milio ya Mahaba niuwe.

Japhet akaona huu sasa utakuwa ni uboya kama sio usenge akaona ngoja ajitose humohumo chumbani kwa Rozi aende akampe huduma ya kwanza. Ghafla akausukuma mlango huo na kuingia mpaka ndani. Rozi akiwa yupo mtupu (Uchi) pale kitandani akashtuka baada ya kumuona Japhet ameingia mle chumbani kwake Rozi akanyanyuka kitandani na kuketi kitako akimuangalia Japhet kwa macho yaliyolegea kwa sababu ya kuzidiwa na Nyege. Japhet akaingia taratibu na kuurudishia mlango huku na yeye pia akimuangalia Rozi. Sasa wote wawili wakajikuta wanaangaliana!.



Sasa wote wawili wakajikuta wanaangaliana. Japhet akasogea hadi jirani kabisa na pale kitandani ambapo Rozi ndio alikuwa ameketi huku akiwa yupo mtupu kabisa hana nguo hata moja mwilini mwake. Japhet akatabasamu halafu akamuuliza Rozi kwa sauti ndogo:

"Ulikuwa unafanya kitu gani Rozi?" Japhet aliuliza. Rozi hakumjibu kitu alibakia tu anajiumauma midomo yake huku akijiinamia chini uso wake kwa aibu. Hapo ndio kijana Japhet akapata nafasi nzuri ya kuuangalia vizuri mwili mororo wa mtoto Rozi na halafu akajiambia moyoni: "Yaani litakuwa ni kosa kubwa sana, kama nitamuacha hivihivi huyu binti" Japhet alijisemea huku akijilamba midomo yake kwa ugwadu aliokuwa nao.

Rozi aliendelea kubakia kimya hapo kitandani na kuendelea kujiinamia chini uso wake vilevile kwa aibu alioyokuwa nayo taratibu akawa anajaribu kulivuta shuka lililokuwa hapo kitandani ili hata angalau apate kuusitiri mwili wake uliokuwa umejiachia na 'Utamu' wote ukiwa upo nje nje. Lakini ndio hivyo tena alikuwa ameshachelewa kwani Japhet alikuwa tayari ameshamfaidi kwa kumuona kila kitu maungoni mwake.

"Usijali Rozi hizo zote ni changamoto tu za kimaisha zinamkuta binadamu yeyote aliyekuwa na uhai" Japhet alisema na moja kwa moja akaenda na kuketi hapo kitandani pembeni kabisa na Rozi.

"Nisamehe kaka Japhet yaani hata na mimi sielewi nimejikuta tu nafanya hivi" Rozi alisema kwa sauti ya chini mno na iliyochanganyika na aibu ndani yake.

Japhet akatabasamu na kusema: "Sikiliza Rozi hilo ulilolifanya sio kosa, bali kosa ni kuendelea kulikumbatia tatizo" alisema Japhet na kumuacha njia panda binti huyo asimuelewe anamaanisha nini.

"Kivipi kaka Japhet mbona sijakuelewa?" Rozi alimuuliza Japhet. "Yaani ni hivi kuendelea kuteseka na wakati msaada upo hilo litakuwa ni kosa kubwa sana" Japhet sasa aliamua kufunguka kabisa na kumuelewesha Rozi kwa njia hiyo ya mafumbo. Rozi alibakia kimya akijiinamia na kuminyaminya vidole vyake vya mikononi kuonyesha sasa amemuelewa vyema Japhet anamaanisha kitu gani.

Japhet akaona ndio hapahapa asilaze Damu kwani na yeye alikuwa anajikaza tu kisabuni 'Gobole' lake lilikuwa linakaribia kuipasua Pen's aliyokuwa ameivaa kwa kudinda ile kinomanoma. Fasta bila hata ya kuchelewa akaishika ile shuka aliyokuwa amejisitiri nayo Rozi mwilini mwake na kuanza kuivuta. "Kaka Japhet lakini mwenzio mimi naogopa" Rozi alianza kujitetea kwa kulalamika huku akiizuia shuka hiyo isiuachie mwili wake.

INAENDELEA
Powered by Blogger.