KARIBU USOME HADITHI NZURI ZA KUSISIMUA

Chombezo : Ni Shiida! Sehemu Ya Kumi (10)

 LOVE STORY: ni shiidaI - 4
Macho yalishamlegea, sehemu kubwa ya mwili wake ikawa kitandani huku akianza kuongeza mhemo na mhemko wake. Hali ilikuwa mbaya kwa Juliana?
?Baby njoo basi, si umenitanguliza mwenyewe,? alisema Juliana kwa sauti tamu, sauti nzuri, sauti ya kumtoa mwanajeshi kwenye handaki.

Juliana huyohuyo alimvuta Bitungu kitandani na kuanza kumvua bila kujali tabu zake. Bitungu naye alikuwa akijipindapinda, akijinyonganyonga ili kuruhusu nguo zake kutoka mwilini wakati wa kuvuliwa.
Wote wakawa kama walivyozaliwa, Juliana alimwangalia Bitungu kwa macho malegevu sana, kusinzia si kusinzia, kulala si kulala?
?Baby,? akaita?
?Yes dear.?

?Nakupenda,? alisema Juliana kwa sauti iliyotoka nje kwa kupitia tundu za pua?
?Hata mimi baby nakupenda pia.?
?Kweli baby?? aliuliza Juliana akipeleka mkono na kushika maiki ambapo alianza kuimba nyimbo nzuri za mapenzi huku macho yake yakimwangalia Bitungu usoni hali iliyomchanganya kijana huyo na kujikuta akitetemeka kwa kiu ya kulisataka kabumbu.
?Baby,? aliita tena Juliana?
?Yes??

?Mimi tayari.?
?Tayari nini sweet wangu??
?Aaah! Bwana, unajua namaanisha nini!?
Bitungu alimtega vizuri Juliana na kuanza naye soka huku akitembeza mikiki ya mbali na kumfanya Juliana kuhema sana na kutoa mlio wa kubembeleza kwa mbali.

Kitu kimoja ambacho alikisahau Juliana ni kuacha simu yake palepale kitandani hivyo akailalia. Sasa wakati makasheshe yakiendelea, aliiminya na mgongo, akajikuta anabonyeza vitufe mpaka akafika eneo la namba ya mama yake ambayo alimpigia yeye kwenye ?received call?.
Mama Juliana aliipokea haraka simu ya binti yake akijua huenda kuna tatizo kwani walishatoka kuongea muda mfupi tu uliopita?

?Huyu anasemaje tena?? alijiuliza mwenyewe akiwa anaipokea bila kujua kwamba upande wa Juliana, simu hiyo ilijipiga yenyewe.
?Haloo?? alipokea na kuita?
?Haloo??
?Halooo?wee Juliana!?
Mama Juliana alishtuka wakati akiita kwenye simu, upande wa pili alisikia maneno haya?
?Baby?baby jamani?oooo?.baby??
Alisimama?

?Wewe Juliana??




"Juliana si naongea na wewe?"
"Halooo..."
Alihisi presha ya ajabu kumtembelea, hakutaka kuamini kile alichokuwa akiendelea kukisikia kwenye simu.
Muda wote Bitungu na Juliana bado walikuwa katika mechi ngumu, mechi ilikuwa imeshawazidia kwani tayari walikuwa wamefungana mabao ya kutosha na wapo katika mapumziko ya kipindi cha pili.

Juliana hakushtuka kama ile simu ilikuwa imempigia mama yake, ndiyo kwanza aliendeleza mahaba kwa Bitungu.
"Baby..."

"Sema mpenzi wangu..."
"Tupumzike tuendelee basii, ila leo umeniweza kweli!"
"Tena una bahati leo!"
"Bahati? Bahati wapi wakati kawaida yangu kumaliza mechi na ushindi."

Wakiwa katikati ya maongezi, Bitungu akaiona simu kwa Juliana, simu ambayo Juliana alikuwa ameikalia bila kujitambua kuwa imejipiga na mbaya zaidi imempigia mama yake.
"Mpenzi mbona umeikalia simu..."
"Simu? Simu ipi?"

"Ina maana huijui simu yako, au si ya kwako hiyo?"
Harakaharaka Juliana alijisogeza na kuichukuwa ile simu yake, ilikuwa bado iko hewani kwani maneno yote mama yake alikuwa bado anaendelea kuyasikia. Juliana akaanza kutetemeka sambamba na kuumana meno. Akaikata simu ile na kuanza kuangua kilio kana kwamba yupo msibani.
"Nini tena sweet?"
"Hapana..."

"Hapana nini?
"Niache kwanza, niache tu..."
"Siwezi kukuacha sweet wangu wakati umeiangalia simu yako na kuanza kulia kama ni msiba nijuze kuliko kupeana presha..."
"Bora ingekuwa msiba Bitungu...

"Ila! Nini sasa kinachokufanya uendelee kulia tena kwa sauti ya juu hapa na unajua hapa ni gesti?"
"Bitungu, yale yote tuliyokuwa tunafanya na kuongea mama ameyasikia!"
"Unasemaje?"
"Mama ameyasikia yote!"

"Sweet ina maana hukuweka loki kwenye simu yako?"
"Hapana! Wakati tupo kwenye mechi simu yangu ilijipiga yenyewe bila kujua, mama akapokea na kusikiliza yote..."
"Kwa hiyo ndo ameshajua kila kitu.."
"Ndiyo amesikia Bitungu!"

"Ahhh! Haiwezekani sweet, mama yako amesikia kila kitu?"
Bitungu alihisi kuwa mdogo kama piritoni, bado alikuwa mtupu kama alivyozaliwa, mzuka wote wa kuendelea na mechi ukawa umekwisha rasmi, alichokifanya alitupa shuka upande wa pili huku ghadhabu ya hali ya juu ikiendelea kumtoka...
"Lakini..."

"Lakini nini niache kwanza Bitungu..."
"Unatakiwa kwanza tuyazungumze na kupanga jinsi ya kumwambia mama yako..."
"Bitungu unajua kabisa kitumbua kimeshaingia mchanga hapa na hakuna cha kukipangusa, ni bora kiliwe hivyohivyo tu!"

"Una maana gani Sweet?"
"Mambo yameshaharibika hapa, si salama tena!"
"Ngoja, ngoja! Tuliza kwanza jazba."
"Hapana Bitungu... hapana!"


Juliana alikuwa hataki kusikia lolote, ile raha ya mechi iliyokuwa imemtembelea aliona kama moto, moto tena ule wa kuni. Alitamani ardhi ipasuke atumbukie pengine angefarijika.


INAENDELEAH
Powered by Blogger.