KARIBU USOME HADITHI NZURI ZA KUSISIMUA

Chombezo : Tipwatipwa Tetema... Ooh Tetema! Sehemu Ya Nne (4)


Njia nzima nilikuwa nikimfikiria mama mdogo, kuna wakati nilikuwa natetemeka sana kwa hofu kwa sababu spidi aliyokuja nayo ilionesha kwamba ndani ya muda mfupi tu mumewe atashtukia mchezo na huo ndiyo utakuwa mwanzo wa kufungishiwa virago na kurudishwa ‘bushi’, au pengine hata kunidhuru kwa sababu nasikia mke anauma sana.

Hata hivyo, wakati nikiwaza hivyo, akili nyingine ilikuwa inawaza purukushani za mama mdogo, nikawa nakumbuka jinsi alivyokuwa ananipeleka puta! Japokuwa jana yake nilikuwa namuwaza sana Mimah kwa shughuli pevu aliyonipa lakini nikiri mambo ya mama mdogo yalikuwa ni ‘hatari faya’.

Basi muda mfupi baadaye tayari nilikuwa nimeshafika kituoni, nikakuta gari pale likiitia abiria, nikajichoma ndani mzimamzima na kapu langu, nikapita mpaka kwenye siti ya nyuma kabisa, nikaweka kapu langu chini na kukaa kivivu, bado nilikuwa na usingizi sana kwa sababu sikulala vizuri usiku, ukichanganya na uchovu ndiyo kabisa.

Haukupita muda mrefu nikapitiwa na usingizi pale kwenye siti wakati safari ikiendelea. Nilipokuja kuzinduka, tayari gari lilikuwa limeshafika Posta, nikashtuka na kutazama huku na kule, nikaona mbona sura za abiria siyo wale niliowakuta wakati naingia?

Kumbe gari lilishateremsha abiria wote na sasa lilikuwa linapakia abiria wanaotoka Posta kwenda maeneo mbalimbali ya jiji kwa kupitia kituo cha Makumbusho!

“Makumbushooo!” Konda alikuwa akiitia abiria, nikakurupuka na kuchukua kapu langu, nikawapita abiria wengine waliokuwa wamesimama kama mshale, nikateremka na kukutana na konda ambaye alibaki kunishangaa.

“Wewe ulikuwa bado hujashuka?”

“Unaacha kunishtua kwamba tumefika saa hizi unaniuliza nini,” nilisema huku nikitoa nauli na kutaka kumpa.

“Nauli ushalipiwa weweee, unalala kiboyaboya kwenye gari unakoroma mpaka unalipiwa nauli hauna habari, siku nyingine utafagia gari,” alisema kondakta kwa namna ya kunifedhehesha, abiria wakacheka sana. Nilishindwa cha kumjibu kwa sababu hawa makonda wengi wanakuwa na kauli za kuudhi sana, ukimkuta mstaarabu basi ni mmoja kati ya kumi.

“Nimelipiwa na nani?” ilibidi niwe mbogo kidogo kukabiliana naye kwa sababu niliona kama anazidi kunidhalilisha.

“Kuna sista bongebonge hivi kakulipia, alikuwa anakuamsha wewe unakoroma tu kama boya, hata hao samaki unaoenda kuuza si utakuwa unadhulumiwa kila siku, mtoto wa kiume umelegea kama bamia,” konda alizidi kunikandia, abiria wakawa wanazidi kuangua vicheko.

Niliamua kuachana naye maana hata wale ambao hawakuwa wanajua kilichotokea sasa walianza kukusanyika kushuhudia zogo hilo. Nikawa nakatiza mitaa kwa kasi kuelekea Feri huku nikizipuuzia shombo zote za konda na kubaki na swali kuhusu huyo mtu aliyenilipia nauli.

Kiukweli sikuwa nimemuona mtu yeyote ninayemfahamu wakati nilipoingia kwenye daladala na kwa sababu nilipitiwa na usingizi muda mfupi baadaye, sikuwa hata na dondoo kuhusu mtu huyo, nilichokishika kichwani ni kwamba alikuwa ni sista bongebonge kama konda alivyoniambia.

Muda mfupi baadaye, tayari nilikuwa nimeshafika Feri, nikajichanganya kama kawaida yangu na dakika chache baadaye, nilikuwa nimefika samaki walipokuwa wakiuzwa kwa mnada, kama unavyojua tena mambo ya Feri, wavuvi wakirudi kutoka baharini alfajiri huwa tunakusanyika, mmoja kati yao anapanda kwenye meza au kitu kama jukwaa hivi akiwa na rundo la samaki kisha anaanza kumtoa mmojammoja, mnashindana kutaja bei.

Basi kazi iliendelea, baada ya muda nikawa nimeshapata mzigo wa kutosha, kama kawaida yangu nikapita pale kwa Mpemba kupata kifungua kinywa, akanipimia bakuli la supu, nikaweka mzigo wangu pembeni na kulifakamia huku Mpemba akiendelea kunitania kama kawaida yake.

Baada ya kumaliza, nilimlipa na kubeba kapu langu, safari ya kurudi Posta kutafuta usafiri ikaanza. Tayari kijua kilikuwa kimeshachomoza na kuanza kuwa kikali, basi nilirudi moja kwa moja mpaka nyumbani kwenda kujiandaa kwa ajili ya kuingia mtaani kama kawaida yangu.

Kwa kawaida muda huo wa asubuhi ninapotoka kuchukua mzigo, huwa nakuta tayari baba mdogo ameshaondoka kwenda kwenye mihangaiko yake, pia kwa siku za wiki ukitoa Jumamosi na Jumapili, watoto huwa wanakwenda shuleni kwa hiyo pale nyumbani huwa anabaki mama mdogo peke yake.

Sikuwahi kulitilia hilo maanani kwa sababu siku zote nilikuwa na pilikapilika zangu lakini siku hiyo niliporudi ndipo nilipogundua kwamba kumbe huwa mama mdogo anabaki peke yake mpaka muda wa watoto kuanza kutoka shuleni.

Nilifika nikiwa natweta, kijasho chembamba kikiwa kinanitoka. Nikatua mzigo wangu kwa ajili ya kutenganisha samaki, wale wengine mama mdogo awakaange na kuwaweka pale kwenye kigenge chake na wengine nikawatembeze kama kawaida.

“Ooh! Pole baba,” alisema mama mdogo baada ya kuniona huku tabasamu pana likiwa limechanua kwenye uso wake.

“Shikamoo!”

“Aah! Mambo gani hayo bwana, wewe mkubwa mwenzangu ujue! Kama uliweza kunitoa chozi la utamu shikamoo ya nini tena,” alisema huku akijichekesha, nikatabasamu kwa aibu.

Haikuwa kawaida yake kunipokea kwa upole na bashasha kama hivyo, kila siku alikuwa amezoea kunipokea kwa maneno ya hapa na pale ambayo kiukweli yalikuwa yananiudhi sana.

“Hapo unatakiwa ukaoge kisha upate chai nzito, uchovu wote utakuisha,” alisema huku tabasamu pana likiwa limechanua kwenye uso wake, akachukua kapu na kuanza kutenganisha samaki, mimi nikautumia muda huo kwenda kujimwagia maji kwa sababu asikwambie biashara ya samaki ina changamoto sana kwenye suala zima la shombo.

Niliingia ‘magetoni’ na kuvua nguo zile zilizokuwa na shombo, nikazitupia kwenye kamba pale nje, nikajifunga taulo na kutoka, nikakutana na mama mdogo ambaye ni kama alikuwa anataka kuja kule chumbani kwangu.

“Nakwambiaje! Nimekuwekea maji ya moto na sabuni ya maji, naamini ukitoka bafuni mwenyewe utajishangaa, hakuna cha shombo wala nini,” alisema kwa sauti ya chini lakini iliyokuwa na ladha fulani ya aina yake, nikatabasamu kwa sababu ama kwa hakika sasa nilikuwa nanyenyekewa kwelikweli.

Kweli nilipofika bafuni, nilikuta maji ya moto, yaani yale ambayo huwa anaoga baba mdogo leo kidume nilikuwa nimeandaliwa mimi, pia alikuwa ameniwekea sabuni zile za maji za kuogea, wenyewe wanaziita ‘shower gel’.

Kiukweli sikuwa nimezoea kabisa mambo hayo, basi nikaanza kujipiga sopusopu pale huku nikimfikiria sana mama mdogo. Ama kwa hakika alikuwa ananionesha mapenzi mazito sana, nadhani alikuwa amekolea kwa ile shughuli ya usiku.

Baada ya kumaliza kuoga, nilitoka na kama alivyokuwa ameniambia, kweli nilikuwa nanukia marashi, hali iliyonifanya nijisikie vizuri sana.

Niliingia chumbani na kuanza kujifuta maji, nikiwa sina hili wala lile nikashtukia mama mdogo akiingia kimyakimya huku akiwa na sinia ambalo ndani yake lilikuwa na kifungua kinywa. Pia alikuwa amekuja na mafuta fulani hivi mazuri yanayonukia vizuri ambayo huwa anayapaka baba mdogo.

“Hebu ngoja nikusaidie,” alisema aliponiona nababaika kujifunga taulo baada ya kuwa ameingia ghafla, nikawa naona aibu kwa sababu sikuwa nimemzoea mama mdogo. Basi bila woga akaja na kunifungua taulo, nikabaki na suti ya kulalia, akaanza kunifuta maji kwa upendo huku akinichombeza na maneno ya hapa na pale ya kunisifia.

Baada ya kumaliza kunifuta, alianza kunipaka mafuta utafikiri mtoto mdogo, basi mwili ukawa unasisimka kwelikweli, ukichanganya na ile supu ya pweza niliyopiga kule Feri, ‘hasira’ zangu hazikuwa mbali.

Aliendelea kunipaka mafuta huku stori za hapa na pale zikiendelea na mwisho akaishia kwa mkuu wa kaya, alimshika kwa mikono yote miwili na kumpaka mafuta kwa staili fulani ya uchokozi uliovuka mipaka. Ilishaonesha kwamba alikuwa na ‘nia ovu’ ndani ya moyo wake.

Mkuu wa kaya alifura kwa hasira kali, akawa anazidi kumchokoza kwa makusudi na nikiwa sina hili wala lile, nilishtukia akinisukumia kwenye uwanja wa fundi seremala, ‘nikaanguka’ chali huku mkuu wa kaya akiwa amefura kama nyoka koboko. Akaja mbiombio kwa juu huku tabasamu pana likiwa limechanua kwenye uso wake, kumbe kweli alikuwa na nia ovu kwa sababu ndani hakuwa hata na ‘kufuli’.







Akamuelekeza mkuu wa kaya njia ya kupita na kujikadiria kiwango alichokuwa anakihitaji, nikamuona akifumba macho kisha akayafumbua nusu, akawa ananitazama huku akiendelea ‘kupiga peda’ kwa ufundi wa hali ya juu, nikajikuta tu miguno ikinitoka mithili ya beberu mbele ya mbuzi jike.

Mama mdogo alikuwa mtoto wa mjini kwelikweli, yaani utundu aliokuwa akiufanya pale ulinifanya nizidi kuchanganyikiwa kabisa, ni kweli nilikuwa nafanya makosa makubwa sana, lakini katika mazingira kama yale nani ambaye angeweza kuuona ubaya wa dhambi ile? Akili zilihama kabisa, nikawa najiona kama mimi ndiyo baba mwenye nyumba.

Ilifika mahali nikaona kama ma’mdogo licha ya kujitahidi kwa kadiri ya uwezo wake, ni kama alikuwa akitegea, nikajipindua kama mwanasarakasi, tukabadilishana nafasi, yeye akawa pale nilipokuwa mimi na mimi nikapanda pale alipokuwa yeye.

Nikamuona akifumbua macho yote na kunitazama kama anayetaka kusema jambo, nikasogeza kichwa changu kwenye shavu lake laini, nikambusu kisha nikamnong’oneza kitu sikioni, akatabasamu kisha na yeye akaninong’oneza.

“Naomba basi usicheze kwa nguvu sana, utaniua mwenzio,” aliniambia kwa sauti iliyopenya kwenye masikio yangu na kuzidi kuniongeza wendawazimu, ni kama aliniambia ‘haya cheza kwa kadiri ya uwezo wako sasa’.

Mashetani yangu yaliamka, nikawa napiga mashuti ya nguvu na kumfanya awe anatoa miguno kwa nguvu mithili ya mtu anayekamuliwa ‘kijipu uchungu’.

Haukupita muda mrefu, alikuwa ameshakwea juu kabisa ya mnazi, akaangua dafu kubwa na kulipasua kwa nguvu, ilibidi nimzibe mdomo kwa sababu alipiga yowe kwa sauti ya juu sana, akawa anapaparika kama kuku aliyekatwa kichwa, mwili ukawa unatetemeka kama jenereta na haukupita muda akatulia tuli, kama maji mtungini.

Nilimuacha avute pumzi kidogo, nikawa naendelea kumbembeleza mkuu wa kaya kwa mkono wangu kwa sababu alikuwa amekasirika mno kiasi cha kunifanya niwe nasikia maumivu. Alipotulia kidogo, nilimuweka ‘mkao wa kula’ na kwa kuwa sasa alikuwa hajitambui, ilibidi niwe najisevia mwenyewe.

Kwa kadiri nilivyokuwa naendelea kujisevia, niliona akianza kurudi kwenye hali yake, akaanza kunipa ushirikiano, ikafika mahali akawa amerudi kamili mchezoni, niliendelea kulisakata kabumbu kwa nguvu na kasi, dakika chache baadaye akawa ameshakwea mpaka juu ya mnazi kwa mara nyingine, akaangua dafu jingine na kulipasua kwa nguvu, halikama ile ya mwanzo ikamtokea tena.

“Inatosha! Inatosha,” alisema huku akimtoa mkuu wa kaya kwenye chungu cha asali, mwili wake wote ukiwa umelegea mithili ya ile mboga ya bamia inapoliwa na ugali.

“Ngoja basi nimalizie.”

“Hapana! Najisikia vibaya, naomba maji ya kunywa!”

“Maji? Sasa si mpaka kule ndani?”

“Kanichukulie, nahisi kufakufa!” alisema na kunipa mtihani mgumu. Hata hivyo, kwa hali aliyokuwa nayo, niliona kuna ulazima wa kwenda kumchukulia. Nilinyanyuka na hapo ndipo nilipogundua kwamba kumbe hata mimi nilikuwa nimelowa chapachapa, nikachukua taulo nakujifuta kisha nikajifunga kiunoni, nikafungua mlango taratibu kwa kunyata.

Nilipohakikisha hakuna mtu, nilitoka na kwenda mpaka nyumba kubwa, nikafungua friji na kutoa chupa iliyokuwa na maji ya baridi, basi nikarudi harakaharaka na kumpa. Hakutaka hata kutumia glasi, alianza kuyagida maji yale kwa fujo, nikawa namshangaa kwa sababu yalikuwa ya baridi sana.

Alipoishusha chupa, ilikuwa imefika nusu, nikamuona amepata nguvu, akajizoazoa na kukaa, akawa ananitazama huku aibu za kikekike zikiwa zimemjaa usoni.

“Unatumia madawa ya kuongeza nguvu wewe, si ndiyo?” aliniambia, nikaishia kucheka tu kwa sababu alichokuwa anakisema hakikuwa na ukweli wowote.

“We hutaki maji,” aliniuliza, akawa ni kama amenikumbusha, nikasimama na kufuata glasi kwenye kimeza kidogo, wakati narudi macho yake yakatua kwenye himaya ya mkuu wa kaya ambaye bado alikuwa ananisumbua kwelikweli.

“Khaaa! Mbona uko hivyo?”

“Si nimekuomba tumalizie umekataa? Mwenzio nina hali mbaya ujue,” nilimwambia huku nikikaa pembeni yake na kumimina glasi ya maji, nikaipiga kwa kasi na nilipoishusha, ilikuwa tupu.

“Maskini pole, tatizo lako we mroho sana!”

“Mimi na wewe nani mroho?”

“Mh! We umezidi, nikikuchekea unaweza kuniua mtoto wa watu bure? Huyo mke utakayemuoa mpaka namuonea huruma.”

“Kha! Sasa kwani nyie huwa mnataka nini hasa mbona unanichanganya? Mwanzo ulisema kwamba baba mdogo hafiki pale unapopata, sasa hivi tena unaniambia mimi mroho.”

“Wewe tatizo lako unazidisha sana bwana, kama unaua nyoka vile,” alisema mamamdogo, tukaishia kucheka kwa furaha, akanivutia kifuani kwake, tukagusanisha ndimi zetu huku moto wa hisia ukianza kuwaka upya.

“Ahsante sana baba, sasa hivi nakula mpaka nasaza mwenyewe! Nilikuwa siijui raha ya mapenzi mwenzio, wewe ndiyo umenionesha huu ulimwengu,” alisema ma’mdogo kwa hisia za ndani kabisa, safari hii masihara aliyaweka pembeni, akaendelea kunisifia kwamba eti mimi ni mwanaume ambaye mwanamke yeyote anaweza kujivunia kuwa naye.

Yalikuwa ni maneno matamu mno yaliyonifanya ‘bichwa’ livimbe, basi tukawa tunaendelea kumagiana mvua ya mabusu na haukupita muda mrefu alinivutia mwenyewe ‘msambweni’ lakini anakisisitiza tena kuacha kula kwa papara huku akiniambia kwa mafumbo eti kula nanasi kunahitaji nafasi.

Nilijitahidi kufuatisha kile alichokuwa ananiambia, zile ‘kukuru kakara’ za mwanzo zikapungua na sasa nikawa nacheza kwa kufuatisha mdundo wa ngoma, hali iliyompa na yeye nafasi ya kuonesha vizuri ‘maringo’ yake uwanjani. Baada ya mdundo wa ngoma kukolea, alianza kuonesha dalili za kutaka kuangua dafu jingine kwa nguvu, ikabidi na mimi nijitahidi twende naye sawa kwa sababu alionesha kuchoka sana, basi ikawa ni piga nikupige mpaka tukafanikiwa kufika mwisho wa safari kwa pamoja! Kishindo chake kilikuwa kikubwa kwelikweli, ma’mdogo akawa anaropokwa maneno yasiyoeleweka.

Haukupita muda, akapitiwa na usingizi mzito kiasi cha kuanza kukoroma. Nikawa nimejilaza pembeni huku na mimi nikivuta pumzi kwa sababu kazi iliyofanyika haikuwa ya kitoto. Sijui nini kilitokea bwana, na mimi nikajikuta nimepitiwa na usingizi mzito palepale.

Kilichokuja kunizindua ilikuwa ni kelele za watoto wa mamdogo waliokuwa wanarudi kutoka shule, nikajua tayari ishu imebumburuka, angetokaje mle ndani kwa hali aliyokuwa nayo bila kushtukiwa? Ikabidi nitumie ujanja uleule niliotumia jana yake wa kutakakuwatuma waende dukani lakini nilipomwambia mamdogo, alisema hawawezi kukubali kwa sbaabu ndiyo wanarejea kutoka shule na bado hawajala.

“Kibaya hata chakula sijawapikia! Fanya hivi, wape hii hela waambie mama yenu ametoka amesema mkija mkanunue chipsi,” alisema, wazo ambalo niliona linafaa kwa wakati huo. Basi nilitoka nje, wakanisalimia kwa uchangamfu huku wakiniuliza mahali alipokuwa ameenda mama yao.

“Ametoka kidogo anasema anajisikia vibaya ameenda hospitali, hajapika ila amesema hii mtaenda kununua chipsi,” niliwaambia, waliposikia chipsi, harakaharaka waliweka mabegi yao na bila hata kubadilisha nguo, wakachomoka mbiombio.

Kosa ambalo tulikuwa tumelifanya, kumbe kuna mpangaji mle ndani siku hiyo hakuwa ametoka kwenda kazini kama kawaida yake, kwa hiyo muda wote alikuwa amelala kimya ndani kwake, sasa sijui kama alisikia zile mbilingembilinge au la lakini wakati ma’mdogo anatoka, waligongana naye uso kwa uso, naye akiwa ndiyo kwanza anafungua mlango wake ili atoke na kwenda uani.





Nilishuhudia picha nzima nikabaki nimetulia nikisubiri kitakachofuatia. Nilimuona yule mpangaji akimtazama kwa dharau ma’mdogo kisha akabenua midomo yake, nikajua kazi imeanza.

Ujue wanawake wana tabia moja, wakiona mwenzao anafanya makosa, huwa wanajiuliza yaani huyu amemuacha mumewe mpaka anakwenda kutembea na yule, ina maana yule amemzidi nini mume wake? Na hapo ndipo tatizo jingine linapoanzia kwa sababu kila mtu atataka kuhakikisha mwenyewe.

Baada ya kumaliza kuoga, mama mdogo alitoka na kumkuta yule mpangaji bado amesimama pale mlangoni, basi sijui walisemeshana nini, wanajuana wenyewe lakini mama mdogo alielekea zake ndani huku nyuma huyu mpangaji akianza kumuimbia taarabu kwa mafumbo.http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Nilipatwa na wasiwasi mkubwa ndani ya moyo wangu kwa sababu nilihisi huyu mpangaji anaweza kuja kutoboa siri kwa baba mdogo halafu akaharibu kila kitu, ikabidi nianze kufikiria mbinu za namna ya kumtuliza. Sikuwa nimezoeana naye kabisa na wakati mwingine hata salamu tulikuwa tukipishana bila kupeana.

Ilibidi na mimi nitumie muda uleule, nikatoka na ndoo ya maji na kwenda bafuni, japokuwa bafu jingine lilikuwa wazi, nilitaka kuingia lilelile alilokuwa ameingia yule dada, kwa hiyo ikabidi nimsubirie pale nje.

Na nilifanya kusudi ili ajue kwamba namsubiri, nikawa naimbaimba Bongo Fleva kwa sababu kama nilivyosema mimi ni mpenzi sana wa Bongo Fleva.

“Chii....chi...chi...chibongeeee! Chichichi... chibongee,” nilikuwa nikiimba kwa sauti fulani hivi, basi nikamuona ameacha kujimwagia maji akiwa ni kama ananisikilizia. Kwa wakati huo, mkuu wa kaya bado hakuwa amerudi kwenye hali yake ya kawaida, kwa hiyo alisababisha eneo la mbele la taulo kuchora ramani fulani hivi, nadhani utakuwa umeshanielewa.

“Wewe nae, kuimba hujui una kazi ya kutupigia kelele tu hapa, hebu nipishege huko mgoni mkubwa wewe,” alisema yule mpangaji kwa sauti ya chini huku akitoka bafuni. Sikuwa nimezoeana naye nikawa najiuliza amepata wapi ujasiri wa kuniambia maneno kama hayo?

“Unaona wivu kwa sababu wewe siyo chibonge eeh!”

“Huna hata haya! Hujui kama watu kama sisi hatuchezewi? Chezea namba nyingine lakini hapa utalala na viatu, wembamba wa reli juu linapita treni,” alisema huku akijishebedua kwa nyodo za kikekike. Wakati akijishebedua mimi nilikuwa nimemkazia macho usoni kwa sababu kiukweli hata sikuwa namfahamu kihivyo.

“Kumbe una mwanya!” nilimwambia kitu ambacho hakuwa amekitegemea, akajichekesha pale huku aibu za kikekike zikiwa zimemjaa, akatembea kwa maringo akia ndani ya khanga moja tu, huku mkononi akiwa amebeba kopo la sabuni na kuelekea ndani kwake.

Ile naingia mle bafuni, niliona kitu ambacho kilizidi kunihakikishia nafasi ya kumshinda mpangaji huyu ambaye mpaka sasa hata sikuwa namjua jina lake. Hakuwa na mtoto ambaye pengine angenifanya nimuite mama fulani kama wanawake wengi pale mtaani walivyokuwa

Kwangu mimi hiyo ilikuwa dalili nzuri, basi nikakisogela kile nilichokuwa nimekiona. Lilikuwa ni kufuli la yule dada, alilokuwa amelisahau nadhani kwa sababu ya ile presha ya kuimbaimba pale nje niliyokuwa nampa.

Nililikwapua haraka na kuanza kulitazama vizuri, nadhani lengo lake lilikuwa ni kulifua lakini kwa sababu ya haraka, alisahau hata kulifua kwa hiyo lilikuwa na kale ka ‘udambwiudambwi’ fulani hivi ka kawaida ambako kila mwanamke msafi huwa anakuwa nako.

Basi nikalisogeza puani, sijui nilikuwa nimeroga na nani kwa sababu sasa haka kamchezo kalishaanza kuninogea. Kitendo hicho kilisababisha mkuu wa kaya afurukute kwa jazba, nikiwa bado kwenye hali ile nilisikia yule dada akiwa ametoka na kuja pale mlangoni.

“Shemu! Shemu!” aliita kwa adabu, sijui alikuwa ananiita shemu kwa sababu gani. Basikwa makusudi kabisa nilifungua mlango wa bafu huku nikiwa nimelifumbata lile kufuli lake kwenye kiganja cha mkono wangu.

“Nimesahau naniliu yangu naomba utoke mara moja niichuku...” alisema lakini alishindwa kauli yake baada ya kuona nilichokuwa nimekishika mkononi. Kumuonesha kwamba mimi siyo wa mchezomchezo nililipeleka puani huku nikimtazama usoni, kitendo ambacho kilimshtua na kumfanya ajisikie aibu sana.

Mwanamke hata ajifanye ‘kauzu’ kiasi gani, hakuna kitu kinachoweza kumfanya ajisikie aibu kubwa ndani ya moyo wake kama kitendo hicho cha kulipeleka kufuli lake puani, tena katika muda ambao mwenyewe hakuwa ametegemea.

“Wewe ukoje,” alisema huku akiwa ametawaliwa na aibu za kikekike, akalikwapua kwa nguvu lakini wakati akifanya kitendo hicho, alimgusa mkuu wa kaya kwa bahati mbaya. Japokuwa mwenyewe aliona kama amenikosea sana na kumfanya awe ni kama amepoteza mwelekeo, ukweli ni kwamba nilikuwa nimepanga itokee vile.http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Hakunitazama tena usoni, akatoka mbiombio mpaka ndani kwake, akabamiza mlango kwa nguvu na kujifungia, nikawa nacheka mwenyewe.

Basi nilianza kujimwagia maji huku nikiendelea kuimba, baada ya kumaliza nilitoka na kukuta tayari watoto niliokuwa nimewapa hela wakanunue chipsi wamesharudi, wakawa wanakula kwa furaha kwa sababu kama unavyojua tena watoto wanapenda sana vitu vitamu-vitamu.

“Mama yenu amesharudi yupo ndani, nendeni mkamsalimie,” niliwaambia, wakaenda moja kwa moja mpaka ndani kila mtu akiwa na mfuko wake wa chipsi. Nilijiandaa harakaharaka kwa sababu sikuwa nimeuza samaki hata mmoja mpaka muda huo na kama baba mdogo angerudi, kungeweza kutokea matatizo makubwa sana.

Baada ya kumaliza kujipiga ‘sopusopu’, nilimfuata ma’mdogo kwani yeye ndiye aliyekuwa amewaweka samaki wote kwenye ‘deep freezer’ kule ndani kwake.

“Vipi tena?” aliniuliza kwa sauti ya kichovu, akionesha ametoka kulala.

“Nataka nikachakarike mtaani, japo nimechelewa lakini siwezi kurudi mikono mitupu.

“Hapana! Usiende!”

“Sasa nitamwambia nini baba mdogo?”

“Hilo niachie mimi! Akikuuliza mwambie ulikuwa unajisikia vibaya baada ya kurudi kutoka Feri, nitakutetea. Hawa waache mpaka kesho, mimi mwenyewe leo sifanyi kazi yoyote,” alisema, nikashusha pumzi ndefu na kumtazama usoni.

“Kapumzike mume wangu!” aliniambia kwa sauti ya chini huku akiwa makini kuhakikisha hakuna yeyote anayesikia, nikatabasamu, akanifinyia kijicho kisha akanibusu kwa mbali, basi nikageuka huku tabasamu pana likiwa limechanua kwenye uso wangu, nikarudi mpaka ndani kwangu.

Kwa kuwa tayari nilikuwa nimeshaulamba tayari kwa kuingia mtaani, ilibidi nianze kuvua viatu pale mpangoni kwa sababu nisingeweza kuingia navyo ‘magetoni’. Basi wakati nimeinama, sijui nini kilinituma niangalie kule kwenye mlango wa yule mpangaji, si nikambamba ‘redi hendedi’ akiwa amenikodolea macho!

Alipoona nimemtazama, alijifanya kuzuga eti kama alikuwa haniangalii, basi na mimi nikazidi kumkazia macho. Alikuwa amekaa pembezoni mwa mlango wake upande wa ndani na kufunua pazia, mahali ambapo isingekuwa rahisi kwa mtu wa nje kumuona ingawa yeye alikuwa anaona kila kitu kilichokuwa kinaendelea.

Kwa kuwa nilishajua alichokuwa anakitaka, basi nilimuonesha ishara kama ya kuubusu mkono wangu, kisha nikafanya ni kama nalirusha busu kwake kisha nikawa namsikilizia atafanyaje, nikamuona akilipokea kisha na yeye akanibusu!

Nilifurahi sana, nikajua tayari mambo yamenyooka! Sikuwa na lengo la kumfanya chochote kwa sababu kwanza hakuwa zile taipu zangu, hakuwa tipwatipwa kama wenzake lakini kwa lengo la kuficha siri kubwa kati yangu na mama mdogo, ilikuwa ni lazima nimalizane naye.

Basi nilivua viatu vyangu na kuvikung’uta, nikaingia ndani na kwenda kubadilisha nguo, nikavua zile za mtoko na kuvaa nguo za kawaida ambazo huwa navaa ninapokuwa nyumbani. Haukupita muda mrefu baba mdogo akarudi nyumbani, haikuwa kawaida yake kurudi muda ule ila sijui siku hiyo alishtukia nini na alipokuja, moja kwa moja alikuja ‘magetoni’ kwangu, nikashtuka kumuona akiingia.







“Wewe kwa nini upo hapa muda huu?”

“Ni...ni..ni...lichelewa...” nilijiumauma kwa sababu kiukweli sikuwa na majibu kwa nini mpaka muda huo sikuwa nimekwenda kuuza biashara.

“Mama’ako naye kwa nini mpaka sasa hivi hata moto hajawasha? Mbona kama mnataka kunihujumu? Ulienda kuchukua samaki?”

‘Ndiyo baba!”

“Wako wapi?”

“Wapo ndani.”

“Sasa kwa nini hujaenda kuuza mpaka sasa hivi?” alirudia tena kuuliza swali lake, kwa bahati nzuri mama mdogo alikuwa ameshatoka, akadakia.

“Tumepata oda kubwa leo, mimi ndiyo nimemwambia asiende kuuza. Kuna shoga’angu an sherehe sasa amenunua samaki wengi kwa jumla, hivi namsubiria alete fedha nimpe mzigo wake, kwa hiyo tuliza moyo wako mume wangu kipenzi,” alisema mama mdogo huku akitoka na kumfuata mumewe kule ‘magetoni’ kwangu.

“Hivi hata usafi huwa unafanya humu ndani kweli? Sijaingia siku nyingi, mh, mbona unanguo chafu nyingi hivyo? Si utaumwa mafua? Basi kwa kuwa leo huendi kuuza samaki ufue sasa, yaani mpaka hewa imekuwa nzito,” alisema mama mdogo eti akijifanya hajaingia chumbani kwangu kwa muda mrefu.

Ni kweli kulikuwa na nguo chafu nyingi kwa sababu sikuwa napata muda wa kufua, ilikuwa Jumapili ndiyo siku yangu ya kufua lakini Jumapili hii ilipita bila kufua na kusababisha hali iwe tete.

“Kweli kabisa, chumba kinanuka utafikiri analala beberu, hata hao mademu zako unaowaingiza humu sijui huwa wanakuvumiliaje, au siku hizi umeacha maana sijasikia stori zako siku mbili tatu hizi,” alisema baba mdogo na kusababisha wote tucheke.

Moyoni nikawa najisemea kwamba ‘angejua!’, basi mtu na mke wake waliondoka pamoja na kuelekea ndani huku ma’mdogo akijifanya kumuonesha mapenzi mazito mumewe. Hawa wanawake hawa!

Basi ilibidi nitoe nguo nje, nikachota maji kwa sababu omba lilikuwa mlemle ndani, nikaanza kufua huku nikiendelea kujiimbia Bongo Fleva kama kawaida yangu, moyoni nikawa najiuliza kuhusu kile alichokisema kwamba eti amepata oda ya samaki. Nilikuwa najua ni uongo, nikawa najiuliza uongo huo utaishaje? Sikuw ana majibu.

Basi wakati nikiendelea kufua, nilishtukia kama kuna mtu ananiangalia sana, kugeuka nikagongana macho na yule mpangaji aliyekuwa amezubaa kabisa ananiangalia, akashtuka kuona nimemshtukia, akajifanya kuvunga eti, nikatabasamu.

Alikuwa amekaa kwenye zulia ndani kwake lakini alifungua pazia kidogo ili apate upenyo wa kuwa ananichungulia, moyoni nikawa najisemea kwamba ‘una hatari wewe’. Katika kile ambacho sikukitegemea, nilishtukia eti akinionesha ishara ya kuniita.

Japokuwa ndiyo kwanza nilikuwa naanza kufua, sikutaka kuilazia damu bahati kama ile. Harakaraka nilijisuuza mikono, nikatazama kushoto na kulia, nilipoona hakuna anayenitazama, harakaharaka nilijichoma ndani.

“Wewe! Kwa nini unatembea na mamaako mdogo?”

“Mh! Mimi? Aah, acha kunisingizia bwana!”

“Nimewaona kwa macho yangu, mtoto una laana wewe!” alisema yule mpangaji huku tabasamu pana likiwa limechanua kwenye uso wake.

“Unanisingizia dadaangu! Kwanza mimi bado mdogo!” nilisema, kauli iliyomfanya acheke sana, akaniuliza swali jingine.

“Kwa nini ulikuwa unanusa kufuli langu?”

“Ujue siku nyingi huwaga natamani japo kukugusa mkono lakini mtu mwenyewe unajifanya keki, muda wote upo bize,” nilimuungia, basi akacheka sana. Nilichokuwa namwambia hakikuwa na ukweli wowote kwa sababu kwanza hata hatukuwa tukifahamiana vizuri lakini kwa kuwa alikuwa ameshuhudia ile dhambi, ilikuwa ni lazima nimzibe mdomo kwa staili hiyo.

“Kwani we unaitwa mama nani?”

“Akuu! Mi sina mtoto mbona.”

“Mh! Kweli? Na yule jamaa ninayemuonaga anaingia humu ndiyo mume wako?”

“Jamaa gani? Tangu nihamie hapa hakuna mwanaume aliyewahi kuingia humu ndani kwangu, wewe ndiyo wa kwanza na nimekuita ili nikusute, tabia gani ya kutembea na mama’ako mdogo?”

“Unanisingizia bwana, mi nakutaka wewe,” nilimwambia, akacheka sana na safari hii, niliamua kujitoa fahamu, nikamshika maeneo yake ya kwenye mbavu kwa utundu fulani hivi, basi akaruka huyooo!

“Mambo gani bwana hayo,” alisema huku akinitazamakwa macho yaliyokuwa yamebeba hisia, nikamsogelea na kumkumbatia, nikapitisha mikono na kukishika kiuno chake kilichogawanyika vizuri, basi akawa anajinyonganyonga huku akijisogeza zaidi kwenye mwili wangu.

Kwa kuwa alikuwa amevaa kigauni fulani chepesi na kujifunga upande wa khanga tu, nilihisi kajoto ka mwili wake kakifukuta na kunipa raha fulani ya aina yake.

“Unataka kunifanya nini?” aliniuliza swali la kijinga sana, nikatingisha kichwa kuoneshakwamba hakuna chochote, kwa msisitizo nikamuuliza kama nimemwambia nataka kumfanya kitu chochote, akacheka kwa kudeka na kunibusu, kitendo kilichosababisha ‘mkuu wa kaya’ achaji kwa kasi ya treni ya umeme.

“Ila wewe! Ndiyo maana mama’ako mdogo kapagawa mpaka anataka kumsahau mume wake!” alisema kwa sauti iliyokuwa inaonesha kama anasitasita, basi nikamuonesha ishara ya kumtaka anyamaze, akatabasamu, eti na yeye akanioneshea ishara kama hiyohiyo.

Nilimsukuma kinyumenyume, basi akaangukia juu ya uwanja mpana wa fundi seremala, nikamfuatia kwa juu huku nikiishusha kaptula niliyokuwa nimevaa ambayo sasa ilishaanza kuzidiwa na mbwembwe za mkuu wa kaya, basi akamtazama kwa kuibia kisha akawa ni kama ameshtuka sana.

“Hapana! Hapana, mimi bado mdogo,” alisema na kusababisha wote wawili tucheke sana. Kumbe alipotoka kuoga, alijipaka mafuta tu na kuvaa kile kigauni kisha akajifunga upande wa khanga kwa juu bila kuzihifadhi mali zake kwa kufuli, nilipoligundua hilo nilichelekelea kama fisi aliyeona bonge la fupa.

“Taratibu sasa maana wewe unaoneka...” alisema lakini kabla hata hajamalizia kauli yake, tayari nilikuwa nimeshamuelekeza mkuu wa kaya sehemu ya kuelekea, akampokea kwa kushtukakidogo kisha akawa ananitazama usoni wakati mkuu wa kaya akichanja mbuga kuelekea kwenye mapango ya Mfalme Suleiman.

“Weweee!” aliniita kwa sauti iliyokuwa inatokea kwenye tundu za pua yake, nikawa nagugumia tu bila kujibu chochote. Katika kile kilichoonesha kwamba alikuwa amekaukia kwelikweli, alianza ’varangati’ eti akitaka kumkomesha mkuu wa kaya, moyoni nikawa nasema ‘utaisoma namba!’







Basi ‘kukurukakara’ ya nguvu ilitokea lakini ndani ya muda mfupi tu, tayari mwenzangu alishafloti, akapanda juu kabisa ya mnazi na kuangua dafu kisha akalipasua pwaaa! Akapiga mayowe kama mtu aliyekurupushwa na mnyama mkali, nikawahi kumziba na mto ili sauti isipae na kusikika mpaka nje.

Alinikamata utafikiri tuna ugomvi huku akihema kwa nguvu, muda mfupi baadaye mwili wake ulilegea, akaangukia pembeni. Nilichomsifu ni kwamba alikuwa na stamina sana kwa sababu muda mfupi baadaye, alisimama akiwa anataka kwenda maliwatoni.

“Miguu haina nguvu kabisa.”http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Sasa si upumzike?”

“Hapana, najisikia vibaya sana, nataka nikajimwagie maji,” alisema, basi akajizoazoa na kutoka, nikawa namsubiri kwa shauku kwa sababu bado ‘mkuu wakaya’ hakuwa ameikata kiu yake.

Muda mfupi baadaye, alirejea akionesha angalau kuchangamka, akaja kukaa karibu yangu huku aibu za kikekike zikiwa zimemjaa.

“Nikuombe kitu!”

“Nambie kidume cha mbegu.”

“Naomba usije ukamwambia mtu yeyote kama ulimuona mamdogo akitoka ndani kwangu.”

“Usijali sitamwambia lakini nataka na wewe uniahidi kwamba nitakuwa nakupata kila ninapokuhitaji! Nishanogewa na asali na sasa nataka kuchonga mzinga,” alisema huku akinitazama kwa aibu za kikekike, kwa muda wote huo hakuwa anajua hali aliyonayo mkuu wa kaya, ghafla si akamgusa kwa bahati mbaya wakati akinisogelea kwa lengo la kunibusu?

“Khaaa!”

“Unashangaa nini?”

“Kumbe bado?” alisema huku akilitoa shuka nililokuwa nimetumia kumficha mkuu wa kaya, akafungua upande wa khanga aliokuwa amejifunga na kuutupa chini, akamsogelea mkuu wa kaya na kumshika kwa adabu, nikiwa sina hili wala lile si akaanza kuimba bwana!

Alikuwa na ufundi ambao sikuutegemea kwa sababu alikuwa akighani kwa sauti tamu sana, nikawa naendelea kusikiliza tungo tamu alizokuwa akizitoa na haukupita muda mrefu, alijiweka vizuri mwenyewe na kumruhusu mkuu wa kaya aelekee sehemu anayotakiwa kuwepo na safari hii, alikuwa anafanya kile kitu wazungu wanaita self service, yaani unajihudumia mwenyewe kulingana na mahitaji yako.

Miongoni mwa kasoro zangu nilizokuwa nazo, nilikuwa naona kama mtu akijihudumia mwenyewe, anakuwa anategea kwa kiasi fulani, kwa hiyo nikaanza tena purukushani kutaka kubadilisha utaratibu lakini alikuwa mjanja sana, ikabidi nitulie.

Aliendelea kunionyesha machejo ya hali ya juu na ilifika mahali, aliongeza kasi akawa angalau amekaribia ile ninayoitaka, jambo lililonipa burudani ya hali ya juu.

“Kwani wewe kabila gani?”

“Mngo...ni,” alisema kwa kukatakata maneno, sasa nikawa nimeelewa kwa nini alikuwa na ujuzi wa hali ya juu kiasi kile.

Ujue haya makabila yanayotoka ukanda wa kusini, kuanzia Wamakonde, Wandengereko, Wangoni na wengineo bila kuwasahau ndugu zangu Wazaramo, huwa bado yanaendeleza zile mila za unyago kwa watoto wao wa kike na hii ni miongoni mwa siri kubwa inayowafanya wawe moto kwelikweli uwanjani.

“Kwani jina lako unaitwa nani?”

“So..phi..a,” alisema huku akiendelea kulicheza ‘segere’ kwa ufundi wa hali ya juu, kidume nikawa nagugumia tu mithili ya mtu anayetafuna bisi ngumu. Hakuchukua muda akawa tayari ameshafika juu ya mnazi kabisa, alipotaka kuangua dafu la pili nilimzuia na kumwambia asubiri kidogo ili tuangue wote, akanitazama kwa macho ambayo yalikuwa kama yana usingizi mzito, akapunguza kidogo kasi na mimi nikawa nazivuta hisia kwa karibu na ili twende sawa, ilibidi nikikamate kiuno chake kilichokuwa mithili ya dondora.

Tukawa tunashindana mbio na hatukuchukua muda mrefu, tukawa tumekwea juu kabisa ya mnazi, alianza yeye kuangua dafu na kulipasua kwa nguvu, na mimi nikamalizia na kusababisha uwanja wote ulowe chapachapa.

Ni hapo ndipo nilipokumbuka kwamba kumbe nilikuwa na kazi ya kufua kule nje, harakaharaka nikakurupuka na kutinga magwanda yangu, nikamuacha akiwa ameuchapa usingizi mzito akiwa katika hali ileile.

Nilisogea mlangoni, nikachungulia huku na kule na nilipohakikisha hakuna mtu pale nje, nilitoka kwa kasi ya mshale, nikaenda mpaka kwenye mabeseni niliyokuwa nafulia, nikawa naendelea na kazi yangu lakini safari hii ilibidi nikae kwenye stuli ndiyo niendelee na kazi kwa sababu kiuno kiligoma kabisa kutoa ushirikiano.

“Ulikuwa wapi?”

“Nilienda kununua sabuni dukani.”

“Anhaa, ikashtuka huyu mtu ameenda wapi tena? Na mimi nataka nifue maana nina nguo nyingi chafu, hapa namsubiri babaako mdogo aondoke tu,” aliniambia mama mdogo huku akinitazama machoni, nikawa nayakwepesha macho yangu kwa sababu sikutaka tutazamane nikidhani anaweza kunigundua kwamba nimetoka dhambini kwa mara nyingine. Isingekuwa picha nzuri.

“Sikia, we nenda kapumzike acha hizo nguo nitakufulia,” aliniambia kwa sauti ya chini, nikatabasamu na kumshukuru sana. Basi ilibidi niingie bafuni kwanza kujimwagia maji kisha nikaingia chumbani kwangu na kwa jinsi nilivyokuwa nimechoka, nilijitupa kitandani na haukupita muda mrefu nikapitiwa na usingizi mzito.

“Ma’mdogo ndiye aliyekuja kunizindua usingizini, nikakurupuka na kufungua mlango.”

“Khaa, kumbe ulilala? Nashangaa naita huitiki, napiga simu inaita tu,” alisema ma’mdogo.

‘Kwani namba yangu ya simu unaijua?”

“Naachaaje kuijua namba ya mume wangu jamani, angalia kama hakuna missed call yangu,” aliniambia huku akishika kiuno kwa madaha, tukaishia kucheka tu.

Nilimuuliza swali hilo kwa makusudi kwa sababu kiukweli kabla ya siku mbili hizo, mahusiano yangu na mamdogo wala hayakuwa mazuri kabisa, hatukuwa na ule ukaribu na muda wote nilikuwa namuona kama ‘nuksi’ kwangu lakini sasa kila kitu kilikuwa kimebadilika.

“Ujue we ma’mdogo mzuri sana,” nilimchombeza, akacheeeka na kuja kugonga na mimi.

“Umefikiria nini kuniambia hivyo? Ulikuwa unanichukulia poa si ndiyo?” alisema huku akinisukuma pale mlangoni, tukaingia magetoni kwangu.

“Ameondoka?”

“Kitambo tu, eti alikuwa anataka mambo, nikamtolea visababu mpaka mwenyewe akachoka, alikuwa anataka kunipakaza shombo tu kama kawaida yake, hajui kwamba mwenzake umeshafanya kazi kikamilifu,” alisema mamdogo, nikacheka sana.

“Nimeshamaliza kufua, nguo zako zilikuwa chafu sana looh! Kuanzia leo sitaki urudie nguo mara mbili, n’takuwa nakufulia na kukunyooshea, sawa mume wangu,” aliniambia na kunibusu, nikajisikia raha sana ndani ya moyo wangu.

“Haya niambie, unataka kula nini?”

“Chochote tu ma’mdogo,” nilimwambia huku moyoni nikiomba asije akatamani tena kuingia ‘msambweni’ kwani nitaadhirika.

“Basi usijali, nakupikia chakula kizuuuri, ukishakula kuna kazi inakusubiri,” alinibusu kisha akainuka, akawa anatoka huku akijitingisha, nikabaki nikimsindikiza kwa macho huku moyoni nikijiambia ‘za mwizi arobaini’.





Basi niliendelea kujilaza pale kitandani huku nikiendelea kutafakari mambo mengi ndani ya kichwa changu, ama kwa hakika michezo ya haramu huwa inakuwa mitamu sana.

Mambo yalikuwa yamebadilika kwa kasi kubwa sana, kutoka kuwa muuza samaki mpaka kuja kuwa baba mwenye nyumba msaidizi, sasa nikifuliwa nguo na kupikiwa misosi ya nguvu! Jambo ambalo sikuwa nalijua ni kwamba mwisho wa yote hayo utakuwa nini?

Kutokana na kukolezwa na mama mdogo, nilijikuta nikimsahau kabisa mwanamke ambaye alikuwa na mapenzi ya dhati kwangu, tena akiwa hana mtu kama mwenyewe alivyoniambia isipokuwa mimi tu, Mimah! Lakini pia nilijikuta nikipoteza kabisa taiming ya kumpata mwanamke mwingine ‘chibonge’ lakini mrembo kwelikweli, Jack.

Yaani mama mdogo ni kama alikuwa amenipa limbwata ambalo sasa lilinifanya nizidi kuyakumbatia matatizo kwa mikono yangu miwili. Hivi kama mumewe ambaye kwangu mimi ni baba mdogo angeshtukia mchezo huo si ingekuwa hatari sana? Sasa nitafanyaje kujitoa kwenye mikono yake wakati nimeshazama?

Basi muda mfupi baadaye, mamdogo alileta msosi wa nguvu, mapochopocho kibao, wale samaki ambao huwa tunawauza kwa bei ya juu, aina ya changu, basi aliandaliwa mzima kwa ajili yangu. Kwa wataalamu wa samaki watakuwa wanajua kiwango cha samaki changu na bei yake.

Baada ya kumaliza kuandaa, hakutaka eti nianze kula mwenyewe, alianza kunilisha kama mtoto mdogo, tena akiwa ndani ya upande wa khanga nyepesi tu kwa sababu aliingia akiwa amevaa dela lakini akasema eti huwa hapendi mwili wake kubanwabanwa anapokuwa, kwa hiyo akalivua na kujifunga khanga.

Akaongeza kasi ya feni kisha ndiyo akaanza kunilisha sasa huku na yeye akila, yaani ilikuwa ni burudani isiyo na kifani, kidume nikawa nalishwa huku nikisindikizwa na mabusu motomoto.

Baada ya kumaliza kula, nilinyweshwa juisi moja matata sana ambayo mamdogo aliniambia eti ameiandaa kwa ajili yangu, ilikuwa na mchanganyiko wa tende, maziwa na vikorombwezo vingine kibao, wale wazee wa pwani wanajua shughuli yake ukinywa juisi ya aina hii.

Basi baada ya kumaliza glasi nzima, tena ile kubwa, nilijilaza huku nikipumua juujuu utafikiri chatu aliyemeza mbuzi, mamdogo akakusanya vyombo na kuviweka kwenye kona, nikamuona akilichomoa kufuli lake na kulitupa pembeni kisha akasogea pale kitandani na kujilaza, ‘maruhani’ yakaanza kunipanda.

“Ahsante kwa chakula kitamu.”

“Usijali mume wangu, huu ni mwanzo tu, mazuri zaidi yanakuja. Ila sitaki utoke kitambi kama baba’ako mdogo, uwe unafanya mazoezi sawa mume wangu,” aliniambia huku akinibusu, basi tukaendelea kupiga stori za kimahaba za hapa na pale wakati tukisubiri chakula kishuke.

Mapenzi aliyokuwa ananionesha mama mdogo yalininifanya nijisahau mno, yaani nikawa najihisi kwamba mimi ndiyo mwenye mali sasa.

Haukupita muda mrefu alianza vimichezo vyake vya kuchezeana nywele, ukichanganya na ile juisi niliyokunywa, nilishtukia mkuu wa kaya akifurumuka kwa kasi ya kiberenge kutoka kwenye maficho yake, akawa amefyumu kwelikweli.

Kwa makusudi kabisa, aliamua kuja na ingizo jipya kwa kukamata kipaza sauti kisha akaanza kughani taratibu mashairi ambayo yalipenya mpaka kwenye mboni za macho yangu, basi nikawa naugulia tu nikiwa najihisi kama nataka kupaa bila kuwa na mabawa.

Wakati akiendelea kughani, alikuwa akijigeuzageuza na haukupita muda mrefu chungu cha asali kikawa kimegeuziwa upande wangu, nilishajua alichokuwa anakitaka basi kwa umahiri mkubwa nikaanza kulamba asali kama paka anavyolamba maziwa ya ng’ombe kwenye kibakuli.

Ni kama hakutegemea kilichotokea, basi akazidi kuking’ang’ania kipaza sauti huku kasi ya kushusha mashairi ikiongezeka, na mimi nikazidi kulamba asali ya nyuki wasiong’ata kutoka mkoani Tabora.

Ni kama alizidiwa kwani alichomoka kwa kasi ya mshale na kusimama huku akijinyonganyonga, sikutaka kumkaziwa kwa sababu kama ni maji ya mchele, yalishachemka vya kutosha na sasa kilichokuwa kinatakiwa ilikuwa ni kuweka mchele tu ili mapishi yaendelee.

Nilimrudisha eneo la tukio, bila kupoteza muda nikampeleka mkuu wa kaya kwenye eneo alilokuwa akistahili kuwepo kwa wakati huo kwa kazi maalum lakini kabla sijamruhusu achanje mbuga kuingia kwenye ‘mashimo ya Mfalme Suleimani’, nilimgongesha kwa makusudi kwenye kingo za juu za chungu cha asali, mamdogo akaruka kwa nguvu na kutoa ukelele fulani hivi uliozidisha burudani!

“Te...naaa!” alisema kwa sauti iliyoonesha kama alikuwa akifanyiwa uonevu mkubwa kinyume kabisa na haki za binadamu, nikatabasamu na kurudia tena kile kitendo, akaruka tena kwa nguvu, akanisihi niendelee tena na tena, na mimi bila hiyana nikafanya tena na tena, sasa ikawa ni kama mwalimu wa nidhamu anamuadhibu mwanafunzi mtukutu kwa kumchapa fimbo mfululizo bila huruma.http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Kitendo hicho kilisababisha aangue dafu kubwa na kulipasua kwa nguvu! Ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kushuhudia tukio la aina hiyo kwa sababu kichwani nilikuwa nimeshaamini kwamba ili mtu wa jinsia ya pili aangue madafu, ni lazima akwee mnazi taratibu mpaka juu kabisa, lakini kumbe kulikuwa na njia ya mkato!

Moyoni nikawa nachekelea kwani nilishagundua kamchezo kanakofurahisha sana. Nilimuacha apumue kidogo kisha nikamuweka sawa na kuendelea na kazi na safari hii ilikuwa ni zamu ya mkuu wa kaya kujinafasi. Mamdogo hakuchukua raundi, akakwea tena mpaka juu ya mnazi na safari hii aliangua madafu mawili kwa mpigo na alipoyapasua yote, alikuwa ni kama amepoteza fahamu.

Sikujali, niliendelea na kazikwa muda mrefu bila kuchoka, mpaka nakuja kuzifumania nyavu, mwili mzima ulikuwa umelowa kwa jasho chapachapa utafikiri nimemwagiwa maji. Cha ajabu kilichonishtua, mama mdogo bado alikuwa ametulia vilevile, nikajaribu kumtingisha lakini hakuzinduka, nikamshika mkono, kumuachia mkono nao ukaanguka pembeni, mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio kuliko kawaida nikijua lazima atakuwa amepatwa na jambo baya.

Kwa kuwa kidogo nilikuwa nayajua mambo ya huduma ya kwanza, ilibidi nianze kumpa huduma ya kwanza, niliongeza kasi ya feni mpaka mwisho, nikachukua upande wake wa khanga na kuanza kumpepea kwa nguvu lakini haikusaidia chochote.

“Mungu wangu,” nilisema huku nikitoka mbiombio na kwenda kuchukua ndoo ya maji, bahati nzuri ni kwamba hapakuwa na mtu yeyote pale uani, nikaingia nayo kule ndani na kuanza kummwagia mamdogo maji ya baridi lakini bado haikusaidia kitu.







Alikuwa amelala kama aliyepoteza fahamu, nikaendelea kumtingisha kwa nguvu lakini bado hali ilikuwa ni ileile, nikawa nimechanganyikiwa kabisa, nikiwa sijui nini cha kufanya. Nikiwa nababaika mle ndani, ghafla alizinduka kama mtu aliyekuwa kwenye usingizi mzito.

“Eeeh! Enheee, unaniita,” alisema mam’dogo huku akiwa ametoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango.

“Nenda ndani ukapumzike, nakuomba,” nilisema huku kijasho chembamba kikinitoka, akawa bado anashangaashangaa kuonesha kwamba akili zake bado hazikuwa zimekaa sawa.

“Naomba maji ya kunywa,” alisema kwa sauti kavu, harakaharaka nikampa chupa ya maji ambayo yeye ndiye aliyeniletea wakati wa msosi, wakati nahangaika kutafuta glasi, alikuwa tayari ameshaanza kuyagida yale maji kwenye chupa. Alipoishusha chini, tayari ilikuwa tupu, nikabaki namshangaa.

“Nisaidie kuinuka,” alisema huku akininyooshea mkono, akionesha ni kama anaugulia ndani kwa ndani, nilimsaidia, akasimama lakini nilipomuachia, alipepesuka na kutaka kuanguka, nikawahi kumdaka, ukichanganya na ubonge wake haikuwa kazi nyepesi.

“Vipi kwani, unajisikiaje?”

“Hata sijielewi! Nipe nguo zangu,” alisema, nikafanya kama alivyosema. Huwezi kuamini kwamba alishindwa hata kuzirudisha mahali pale, ikabidi nimsaidie. Nilipomaliza aliniambia:

“Nipeleke ndani,” alisema, nikamshika na kuanza kumkokota kuelekea kule kwake. Yaani kama ungetuona ungeweza kudhani labda ni mgonjwa mahututi ambaye anasaidiwa kutoka kitandani kupelekwa maliwatoni wodini.

Uzuri ni kwamba kwa muda huo hakukuwa na mtu pale nje, nikamkokota huku nikimvuta ili tufike ndani haraka. Nilipomuingiza tu ndani, nilimsaidia kujilaza kwenye kochi kisha harakaharaka nikatoka.

Nilienda chumbani kwangu na kuondoa ushahidi wowote wa kimazingira ambao hata likitkea la kutokea, hakuna anayeweza kunihisi kama nahusika. Nilienda kuoga kisha nikarudi na kutokana na mchecheto niliokuwa nao, sikutaka kuendelea kukaa pale nyumbani.

Nilienda kumuaga kule ndani kwake nikiwa ‘nimeshajipigilia’ kisawasawa, kilichozidi kunichanganya zaidi, alikuwa bado amelala akiwa katika hali kama ileile aliyokuwa nayo kule chumbani. Ni kama alikuwa amepoteza fahamu.

Nilimuita mara kadhaa lakini hakuitika, wakati nageuka kutaka kuondoka, alikurupuka na kuanza kuitikia mfululizo huku akishangaashangaa.

“Natoka kidogo.”

“Haya! Haya,” alijibu harakaharaka kisha akalala tena. Nilibaki na maswali mengi ndani ya kichwa changu kuhusu hali iliyomtokea, nikawa natembea harakaharaka huku nikiwa na mawazo mengi ndani ya kichwa changu.

Nilikuwa natembea tu lakini hata sijui naelekea wapi, nikawa napuyanga mitaani na mwisho nilijikuta nikiwa nimefika nje ya geti la Mimah. Kwa siku kadhaa ni kama nilikuwa nimempotezea hivi, kila simu yake ilipokuwa inapigwa, nilikuwa bize na mambo mengine na kibaya zaidi hata sikuwa nikimtafuta tena.

Ni kama mwenyewe alikasirika ndani ya moyo wake kwani hakuwa akinitafuta tena, nikawa najiuliza nitamuanzaje nitakapoonana naye? Nitamueleza nini ili asijue kwamba nilikuwa nampotezea baada ya kuwa nimeshapata kile nilichokuwa nakitaka kwake?

Nilibonyeza kifute cha kengele pale mlangoni, nikawa nasikilizia kwa sababu kwa muda ule, na kwa siku yenyewe nilikuwa na uhakika wa asilimia mia moja kwamba lazima Mimah atakuwa nyumbani.

Baada ya muda, nilisikia mlango wa ndani ukifunguliwa, Mimah akatoka na kuja mpaka pale mlangoni huku nikiwa nimesimama sehemu ambayo haikuwa rahisi kwake kuniona.

Alipofungua mlango, macho yangu na yake yaligongana, katika hali ambayo sikuitegemea, alinipokea kwa tabasamu pana na bashasha ya hali ya juu, akaja kunikumbatia huku akianza kujibebisha kwamba eti alikuwa amenimiss sana, akawa ananibusu mfululizo.

Kwa muda huo wala hata hakuuliza chochote kuhusu kutopokea simu zake, alionesha kuwa na kiu kali na penzi langu. Japokuwa nilikuwa nimechoka kiasi lakini bado na mimi nilikuwa na ‘mzuka’ mkubwa wa kuingia msambweni, hasa baada ya mamdogo kushindwa kumudu kuitii kiu yangu.

Tuliingia mpaka ndani, kumbe Mimah alikuwa akiangalia tamythiliya pale sebuleni, akanikumbatia kwa nguvu na haukupita muda mrefu, tuligusanisha ndimi zetu, jambo lililoamsha bashasha kubwa kwa mkuu wangu wa kaya.

“Kwa nini unaniacha siku zote hizi, mi nakuwa mpweke mwenzio, nimeshakuzoea,” alisema Mimah kwa sauti ya kudeka huku akiingiza mkono kama anayetafuta kitu kwenye kapu, mara akamkamata mkuu wa kaya na kuanza kuhangaika kumtoa.

“Subiri kwanza, mbona pupa!” nilimwambia, nikalegeza mkanda wa suruali ya ‘jeans’ na kumrahisishia kufanya kile alichokuwa anakitaka, akapiga magoti huku akinitazama kwa macho yake ambayo sasa alikuwa akiyarembua kwelikweli, akakamata ‘mic’ kwa mkono mmoja huku ule mwingine akilitoa kufuli lililokuwa mwilini mwake, ukabidi nimsaidie.

Alinisukumia mpaka juu ya sofa, yeye akaendelea kupiga magoti sakafuni na kuendelea kughani kwa hisia za hali ya juu, ulikuwa ni mwendelezo wa burudani ya hali ya juu na kama kuna watu walikuwa na matumizi mabaya ya rasilimali watu, mimi nilikuwa miongoni mwao kwa siku hiyo.

Baada ya kuimba beti mbili kama siyo tatu, nilimuona akiinuka pale alipokuwa amepiga magoti, akakanyaga mguu mmoja upande wangu wa kushoto juu ya sofa, na mwingine akaupandisha na kukanyaga upande wa kulia, akamkamata mkuu wa kaya na kumuelekeza sehemu ya kuelekea kisha akawa ni kama anajaribu kuendesha baiskeli, nikajikuta miguno mfululizo ikinitoka.





Tukiwa tunaendelea kulicheza ‘vanga’, mara tulishtuka baada ya kusikia mlango wa nje ukigongwa kwa nguvu.

Sijui kwa nini nilishtuka mno kuliko kawaida, nikawa natetemeka sana, Mimah na yeye alionesha kushtuka sana, harakaharaka akajitoa kwenye mikono yangu na kukimbilia kuchukua nguo zake, mapigo ya moyo wake yakawa yanamuenda mbio kuliko kawaida.

“Njoo huku,” alisema huku akinishika mkono, akawa ananivutia kule kwenye chumba cha wageni, akaniingiza mpaka ndani na kwenda kunifungia kwenye kabati la nguo.

“Kwani, we umeolewa?”

“Ha...pa...na!” alisema Mimah huku kijasho kikimtoka. Mlango uliendelea kugongwa, nikamuona akitoka mbio na kukimbilia bafuni, akawa anajimwagia maji harakaharaka.

“Karibuuu! Nakujaaa,” aliitikia kutokea bafuni, nadhani ilikuwa ni kwa lengo la kumzuga mgeni wake, nikawa najiuliza maswali mengi ndani ya kichwa changu kuhusu Mimah yaliyokosa majibu.

Kwa kipindi chote tangu nifahamiane naye, alikuwa amenihakikishia kwamba hana mtu lakini binafsi nilikuwa na mashaka kwa sababu aina ya maisha aliyokuwa anaishi, haikuwa kawaida kwa mwanamke peke yake kuwa na mafanikio makubwa kiasi hicho.

Alichokosa lilikuwa ni gari tu lakini alikuwa na nyumba nzuri ya kifahari yenye kila kitu ndani, kwa kifupi alikuwa anaishi maisha mazuri kwelikweli. Nikiwa kule kabatini, nilimsikia akimfungulia mgeni wake na kumpokea kwa bashasha za hapa na pale.

“Jamani mume wangu! Za safari baba, karibu sana,” nilimsikia Mimah akisema, nikajua kwamba kumbe alikuwa na mume ambaye alikuwa amesafiri na ndiyo maana alikuwa anajiachia sana na mimi.

Sio siri nilijisikia wivu mkali ndani ya moyo wangu, licha ya vituko nilivyokuwa namfanyia vya kutojali sana hisia zake, ukweli ni kwamba nilikuwa nampenda sana Mimah na kiukweli aina ya mapenzi aliyokuwa amenipa, yalikuwa ya kipekee sana.

Alionesha kunipenda na kunijali licha ya hali yangu duni niliyokuwa nayo, hakujali aina ya kazi niliyokuwa naifanya, alinipenda kwa moyo wake wote na hiyo ilikuwa ni zaidi ya heshima kwangu. Moyo uliniuma kwelikweli, kwa mara ya kwanza nilielewa jinsi mapenzi yanavyouma.

Basi nikiwa kule kabatini, machozi yalianza kunibubujika, nikawa napumua harakaharaka huku nikihisi maumivu makali sana ya moyo, nikawa naendelea kusikiliza mambo yote yaliyokuwa yakiendelea.

Hata hivyo, kuna wakati nilijitutumua na kuanza kujifariji kwamba sikuwa natakiwa kulia kwa sababu kama ni kumfaidi Mimah, nilikuwa nimemfaidi kwelikweli na utipwatipwa wake.

Swali la msingi ambalo nilikuwa najiuliza, ni kwamba kama kweli huyo aliyeingia ni mume wake, nitawezaje kutoka salama? Haya mambo ya kufumaniwa uyasikie tu, yakikutokea unaweza kutamani ardhi ipasuke uingie.

Basi niliendelea kumsikiliza Mimah akizungumza na huyo mwanaume, akaanza kumsimulia jinsi safari yao ilivyokuwa na ilionesha ni kama alikuwa amemmiss Mimah kwelikweli kwa sababu muda wote alikuwa akimbusubusu.

Baadaye nikawasikia wakikokotana kuelekea chumbani, Mimah alipohakikisha wameingia chumbani, sijui alitumia ujanja gani, akampeleka huyo mwanaume bafuni kisha yeye akatoka mbiombio na kuja kule nilikokuwa nimefichwa.

Akafungua mlango wa kabati na kunionesha ishara kwamba nisipige kelele hata kidogo, akanipa nguo zangu kwa sababu muda wote nilikuwa mtupu, akanipa ishara kwamba nitoke tutazungumza kwenye simu. Nilimtazama Mimah nikiwa ni kama siamini.

Hata hivyo, niliamua kumsaidia kwa sababu alikuwa amepoteza utulivu kabisa ndani ya nafsi yake, macho yake mazuri yalikuwa yamebadilika na kuwa makubwa, hofu ikawa inaonekana waziwazi kupitia macho yake.

Harakaharaka nilitoka jinsi nilivyo na sikutaka hata kugeuka nyuma, nilitoka nikiwa mtupu mpaka kibarazani, kwa kuwa nyumba yenyewe ilikuwa ni ndani ya geti, hakukuwa na mtyu yeyote aliyeniona, basi nikavaa nguo zangu harakaharaka na kuingia mtaani, huku nikijilaumu sana ndani ya kichwa changu.

Kilenilichokuwa nimekikimbia kule nyumbani kilikuw ana afadhali kuliko kile nilichoenda kukutana nacho, haya mambo ya kufumaniwa haya yasikie tu. Basi nililazimika kurudi nyumbani ambako nako nilikofika, mambo hayakuwa shwari.

Kumbe baba mdogoalikuwa amerudi pale nyumbani na kumkuta mkewe akiwa kwenye hali ile lakini kwa sababu ya ujanja wa mwanamke, ‘alimtengeneza’ mumewe kwamba alikuwa akiumwa sana tumbo na ndiyo lililosababisha awe na hali kama ile.

Bila kujua kwamba kumbe mimi ndiye niliyekuwa nimefanya uharibifu ule, baba mdogo alianza kumhangaingia mkewe, mara amchemshie maji ya moto, mara akimbie kwenda kufuata dawa za maumivu dukani, ilimradi pilikapilika za kuonesha nikwa kiasi gani alikuwa anamjali mkewe.

“Ulikuwa wapi?”

“Nilikuwa nimeenda kwa rafiki yangu mmoja, kuna hela yangu nilikuwa namdai.”

“Sikuoni kama upo siriasi na kazi, una matatizo gani ndani ya kichwa chako?”

“Mimi sina tatizo lolote bamdogo, mbona nipo siriasi sana na kazi yangu?”http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Unaweza kuniambia kwa nini na leo hujaenda kuuza mzigo?”

“Mamdogo aliniambia kwamba yule mteja wa jana anataka samaki wengine, ikabidi niwaache wote hapa.”

“Yaani hela za jana bado hazijalipwa wala samaki hawajachukuliwa, na wewe leo unaambiwa hayo mambo unayakubali! Kwani wewe na mamaako mdogo mna njama gani? Mnataka kuniangusha mtaji si ndiyo?” alisema baba mdogo tukiwa tumesimama nje ya geti huku akionesha kuwa na jazba kubwa ndani yamoyo wake.

“Lakini bamdogo?”

“Lakini nini? Unafikiri sijui mnacjhokifanya si ndiyo?” alisema kauli iliyosababisha mapigo ya moyo wangu yalipuke nakuanza kunienda mbio kuliko kawaida.





Akili ya haraka ilinituma kuamini kwamba kumbe baba mdogo anajua mchezo wote tunaoufanya na mkewe, nikawa natetemeka kwa sababu sasa nilijua za mwizi zimetimia, kama baba mdogo alikuwa anajua kwamba nilikuwa nikitia mkono kwenye kapu lake, unafikiria anaweza kuchagua adhabu gani inayonifaa? Nilijikuta nikitetemeka.

“Najua kila kitu Chande, huwezi kunizidi akili wala huyo mama mdogo wako hawezi kunizidi akili. Siku zote huwa nakwambia kwamba wanawake siyo rafiki zetu wa kudumu, umeshindwa kusimamia kazi iliyokuleta kutoka kijijini na sasa umeanza kushiriki kunihujumu.

“Jana samaki wote mmewaweka kwenye friji, leo pia unakubali kurudia makosa yaleyale, unafikiri mtaji ukianguka utabaki hapa mjini kufanya nini? Itabidi urudi kijijini, huwa sifugi mbwa asiyewinda mimi,” alisema baba mdogo kwa jazba, kidogo nikaanza kupata amani ndani ya moyo wangu kwamba kumbe alichokuwa anakijua ni kwamba tulikuwa tukishirikiana kumhujumu na siyo kwamba nafaidi kilicho halali yake.

“Mimi na wewe tunahitaji kuzungumza kwa kina baadaye, nitakuita,” alisema huku akigeuka na kuondoka, nikashusha pumzi ndefu na kujiinamia. Ilikuwa ni siku ya mkosi kwangu.

Niliingia chumbani kwangu na kujifungia mlango, nikavua nguo zote na kujilaza kitandani, nikawa naendelea kutafakari mambo yote yaliyotokea siku hiyo. Nilimtafakari Mimah, nikakosa majibu kabisa juu yake.

“Kumbe ni mke wa mtu? Kwa nini aliamua kunichuuza kiasi hicho? Au pengine ndiyo maana aliamua kukaa kimya kwa sababu alikuwa anajua mumewe anarudi?”

Nilimfikiria pia yule mpangaji, nikawa najiuliza kama nilichokuwa nakihisi awali ni kweli, kwamba baba mdogo anajua kwamba namlia mali zake, nani anaweza kuwa amemtonya kama siyo yeye?

Nilirudisha mawazo yangu na kuanza kumfikiria ma’mdogo! Nikakosa majibu. Kutokana na uchovu niliokuwa nao, nilijikuta nikipitiwa na usingizi mzito pale kitandani. Kisimu changu kilichokuwa kinaita mfululizo ndicho kilichokuja kunizindua, alikuwa ni mama mdogo.

“Uko wapi?”

“Nipo ndani nimelala.”

“Kimenuka mume wangu.”

“Usiniite hivyo mam’dogo, anaweza kusikia ikawa tatizo zaidi.”

“Ametoka! Vipi kwani amekwambia nini?”

“Ameniambia kwamba anajua kila kitu kinachoendelea kati yangu na yako, kwani amejua?”

“Hahaaaa,” mamdogo alicheka kwa sauti, nikawa sijaelewa kicheko chake kinamaanisha nini.

“Unacheka? Hujui anaweza hata kunichinja?”

‘Siyo hivyo unavyofikiria. Ananilaumu kwamba eti mimi nakufundisha wewe usimtii, mimi na wewe tuna njama za kumuulia mtaji wake. Wala hajui kwamba wewe ni mume mwenzie.”

“Mbona ameniambia anajua kila kitu? Na amesema baadaye anataka tuzungumze?”

“Wala usiogope! Niachie mimi kila kitu.”

“Kwa hiyo akiniuliza nimwambieje? Mimi naona bora nikiri makosa tu na kumuomba msamaha!”

“Wee! Wee! Atatuchinja wote! Hajui chochote na hata hapa kabla hajaondoka nimemtuliza kidogo, anachojua ni kwamba njama zetu ni kumuangusha mtaji wake, basi!”

“Kwa hiyo tutafanyaje sasa?”

“Inabidi hawa samaki tuwakusanye kesho tukatoe msaada kwenye kituo chochote cha watoto yatima kwa sababu akiwaona hapa ndani ndiyo anachanganyikiwa. Nimemdanganya kwamba waliokuwa wametuagiza wamesogeza mbele sherehe yao lakini kesho watatulipa fedha zote.”

“Sasa tutapata wapi hela za kurudishia? Au unaonaje mimi nikiingia mtaani na kuanza kuwauza? Najua leo na kesho tu watakuwa wameisha.”

“Huna haja ya kuteseka mume wangu, kesho kuna hela ya vicoba nitaenda kuchukua halafu tutamdanganya kwamba wametulipa. Wewe tulia kabisa, kazi yote niachie mimi,” alisema mamdogo huku akiongea kwa kujiamini, akakata simu.

Kidogo roho yangu ilitulia, hata hivyo ndani ya moyo wangu nikajiambia kwamba mchezo niliokuwa naucheza ulikuwa wa hatari sana na unaweza kusababisha mtafaruku mkubwa sana siku akigundua kilichokuwa kinaendelea kati yangu na mkewe! Mke anauma bwana.

Nilichoamua ndani ya moyo wangu, ilikuwa ni kuanza kumkwepa mamdogo na kupunguza ukaribu kati yetu kwa sababu tulikuwa tunaelekea sehemu mbaya. Nikawa najiuliza kwamba hata nikisema nipunguze ukaribu na ma’mdogo, nitapata wapi tena pa kutulizia machungu yangu wakati Mimah tayari alikuwa ameshanichuuza?

Wakati nikiendelea kutafakari mambo mengi, ndipo nilipomkumbuka mtu muhimu sana ambaye alishaonesha kama ananielewa hivi, ambaye angeweza kuziba vizuri pengo la Mimah na ma’mdogo.

“Mambo!”

“Poa!”

“Mzima?”

“Mzima ndiyo, nani mwenzangu?”

“Mi Chande bwana, yule muuza samaki uliyekutana naye kwenye daladala.”

“Mh! Yaani wewe? Mpaka nikajilaumu kwa nini sikuchukua namba yako siku ile. Ndiyo nini unachukua namba halafu hata hunipigii?”

“Nisamehe bure mwaya, nilikuwa nimesahau jinsi nilivyokusevu kwenye simu yangu. Vipi naweza kukuona?”http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Umeanza hivyo muuza samaki! Unataka kuniona mimi ili iweje?”

“Tulia mrembo, mambo mazuri hayataki haraka,” nilimjibu kwenye meseji, huku moyoni nikianza kuchekelea kwa sababu ilishaonesha kwamba kazi inaweza kuwa nyepesi zaidi ya kumsukuma mlevi.

“Kwani kesho si unaenda Feri?”

“Mh! Sina uhakika sana, kwani kazini unatoka saa ngapi?”

“Kesho siendi kazini, nitapumzika nyumbani nifanyefanye usafi.”

“Nielekeze basi nikufuate unakoishi?”

“Akuu! Kwangu huwa hawaingii wanaume, unataka kuja kunifanya nini?” ilisomeka meseji yake, nikaona kama ananizingua, nikaamua kumpigia kabisa huku ‘mkuu wa kaya’ akiwa ameshaanza kusisimka kutokana na majibu yake ya kichokozi.









ITAENDELEA
Powered by Blogger.