KARIBU USOME HADITHI NZURI ZA KUSISIMUA

Chombezo: Mama vannessa sehemu ya kumi na tano (15)

hadithi nzuri ya kusimumua ya mapenzi
“Mama Vanessa nahisi hujui ulisemalo. Nahisi wewe umachanganyikiwa na ndio maana unaongea vitu ambavyo hutoweza kuzifanya. Yaani wewe kila kitu unataka kunifanyia.. Nikuombe nikupe muda ukatafari kila jambo tulilotenda na yulilopanga kutenda na ni madhara yake.. Ukishatafakari ndo tuje tuzungumze tena hata mimi nahitaji tafakari kidogo.

“Asante Luas usiwe na hofu maihsa ni mipango na kwa kuwa unaonekana uniamini nipe huo muda unaousema nitakuaminisha. Kwa sasa mimi narudi zangu Musoma tutazidi kuwasiliana na utanitafuta kwa namba ile ya siri ambayo nimeinunua kwa ajali yako tu.

“Sawa haina shida safari njema.”

Walaigana kwa mtindo huo na mama Vanesa aliondoka na safari ya kurudi Musoma ilianza. Alipanga kushukia Bunda ili kufuatilia mambo yake ya biashara na akifika huko ndo ampigie mumewe. Alifika Bunda baada ya masaa mawili. Alifika kwenye moja ya sehemu yao ya biashara. Hapo alipigwa na butwaa mara baada ya kumkuta mme wake. Alipanga kumdanganya kuwa alikuwa huko..



Hakuna ambaye aliyeweza hata kuongea. Wote walikuwa kimya wakisikilizia utamu utamu walichokifanya. Walikuwa wamechoka sana na kufanya wote wapumzike. Walivuta shuka na kujipumzisha. Kila mtu alikuwa mwenye furaha kwa raha walizopatiana. Kausingizi kazito kalizidi kuwanyemelea na baada ya muda mfupi walipotelea ndotoni. Ilikuwa ni furaha sana kwa Lucas kupunguza machungu na kuanza kulipa kisasi kwa kulala na mke wa boss. Pia ilikuwa ni furaha sana kwa Mama Vanesa maana alipata raha ambayo alikuwa hajaipata kwa muda mrefu sana. Alitamani sana kama mwanaume wake angekuwa akimpa hayo mapigo. Lilikuwa ni swala la furaha kwa wote na walilala usingizi kama mke na mme.

Asubuhi ilifika na waliamua kumalizia tena rundi ya asubuhi. Cha asubuhi kilikuwa kitamu sana na baada ya hapo walingia kuoga na kwenda kupata kifungua kinywa. Walikunywa supu na baada ya hapo walianza kupanga mikakati yao ya kufanya.

“Lucas asante sana jana umenipa penzi tamu ambalo sijalipata tangu niingie kwenye ndoa. Wewee ni mwanaume lijali.

“Nashukuru Mama Vanessa hata mimi nimefurahiswa sana na nakiri wewe ni mwanamke mtamu kuliko hata mapenzi yenyewe.”

INAENDELEA.
Powered by Blogger.