KARIBU USOME HADITHI NZURI ZA KUSISIMUA

Chombezo: Mama vannessa sehemu ya ishirini na mbili (22)

Hadithi nzuri ya kusimumua ya mapenzi ya mama vannessa
Lucas akaamaini sasa Mungu amaembadilisha msichana huyo. Kw kuwa nay eye hakuwa na uhusino mzuri tangia acahane na mwanamke huyo amekuwa wa kupita pita tu alaiamua kumrudia. Kiu ca kwanza lichokifanya ni kumzidishai upendo na kumjali sana. Mpka Misheli akawa anaogopa. Alipewa huduma zote anazostahili kupewa mwanamke.

Siku moja aliamua kumchukua na kwenda naye angaza. Lengo lilikuwa ni kumpima afya. Kwa bahati nzuri binti huyo alikuwa ni mzima. Jambo hili lilikuwa furaha kwa Lucas kwa maana mwanzoni alikuwa na hofu sana akiwaza labda binti huyo alikuwa muathirika wa ukimwi na ndio maana alikonda vile. Awali ni awali hakuna awali mbovu. Kuku wako mwenyewe hakuna haja ya kumshikia manati. Siku moja Lucas alimwomba binti huyo amsindikize mahali ambapo ilikuwa ni mkoa wa jirani. Huko walifanya kilichowapeleka na usiku uliingia na kuwakuta huko. Lucas hakutaka kuuliza hiki wa kile alichukua chumba. Usiku huo ulikuwa usiku wa kukumbushia enzi na kufungua ukurasa mpya wa mapenzi. Mwendo wa uchokozi wa Mishel na madaha ya swaga alizojaliwa zilitosha kabisa kushawishi Lucas kuona anastahili kupata mavuno ya kile alichokipanda.

Alihudumia sana mgodi huo na sasa ilikuwa ni fursa nzuri kwa yeye kupata walau madini kidogo. Walianza kwa kuogeshena. Ile michezo ya kuwaamsha waliolala ilifanyika huko. Na kweli Kiungo mchezeshaji wa Lucas alianza mbwembwe zake za kusimamisha kichwa. Mishel alikuwa kama mwanawali ambaye hakuwahi kushiriki tendo hilo. Miaka miwili ya mateso hakuwahi kabisa kufanya tendo hilo hivyo kumfanya awe mwenye hamu zaidi ya neno lenyewe. Hawakutaka kujua kama waliweka ahadi kuwa ataishi kama kaka na dada. Mioyo yao ilisemezana na kwa pamoja wakashiriki tendo la ndoa. Ilikuwa ni kupeana raha kwa kwenda mbele hakuna aliyechoka siku hiyo. Utamu waliokutana nao ni kama vile hawakuwahi kujuana kabla.Tangu siku hiyo pazia la mapenzi motomoto likafunguliwa baina yao. Wagombanao ndio wapatanao.Wakaseamna kwa vitendo na sasa wakapeana kazi ya kila mmoja kufuta makandokando yote waliyokuwa nayo.

“Kama una mapenzi au ulifikiria kuwa naye kwa sasa itabidi umuache na mimi nitafanya hivyo kwa sasa yalioipita si ndwele tugange ya mbele.Nakupenda sana Mishel na naapa kukoa”

“Kwa sasa mimi nimebadilika sana hata leo sijui imekuwaje nikadhini. Lucas mimi ni mcha Mungu mwili wangu ni hekalu ya bwana.Sina mpenzi na nipo tayari kuolewa na wewe kama itakupendeza.. najua umenirudia kulip akisasi ila tambu akisaasi na hukumu ni vya Mmungu..Nipende tena , nipende tana na nipe nafasi kwenye moyo wako.”

Inaendelea
Powered by Blogger.