KARIBU USOME HADITHI NZURI ZA KUSISIMUA

Chombezo : Ni Shiida! Sehemu Ya Kwanza (1)

LADHA MARIDHAWA: LOVE STORY: PENZI SHUBIRI - 2
IMEANDIKWA NA : GLOBAL PUBLISHERS


"Ha! Ha! Ha! Huyo binti yako anaitwa nani?"

"Ah! Achana naye, naona hasira hata kulitaja jina lake," alisema mama Juliana huku akionesha hasira za waziwazi kwa binti yake huyo.

Muda wa makesheshe uliwadia, mama Juliana ndiye aliyeanza kumchokoza kijana wake huyo huku akiwa anahema kwa mihemo ya kimahaba niue…

"Mpenzi wangu Bitungu," alisema mama Juliana huku akichekacheka kimahaba.
Bitungu hakumwitikia mama Juliana bali alimshika na kumwangushia kitandani…
"Lakini leo sitaki ile njia yako, nataka njia yangu," alisema mama Juliana.

"Noo! Sitaki mpenzi, nilishakwambia tangu siku ya kwanza uliponionjesha njia ile kwamba sitaki kusikia njia nyingine, ulitaka mwenyewe lazima tuitumie njia hiyo," alisema kijana huyo kwa sauti iliyojaa uchu.
Mama Juliana hakuwa na jinsi ilibidi akubaliane, walipanda kitandani na kuanza kuchezeana kwanza katika hali ya kupasha misuli ili waingie uwanjani.

"Mpenzi, hebu nionjeshe njia nyingine basi jamani," mama Juliana alijaribu bahati yake lakini Bitungu akakataa katakata.
Muda ulifika, mama Juliana akajitega kwa njia ile ili mambo yaishe ambapo Bitungu naye akaingia uwanjani kuanza soka.
***
Mara ya kwanza, Bitungu kukutana na mama Juliana alishangaa sana. Sehemu kubwa ya kufahamiana kwao kulianzishwa na mwanamke huyo licha ya kuwa na umri mkubwa na kijana huyo alikuwa kama mwanaye tu.

Siku walipokwenda kwa mara ya kwanza gesti, Butungu alishtuka wakati wa mechi kuanza kumwona mwanamke huyo anamwelekeza kupita kwenye njia tofauti kabisa na aliyoizoea.

Hali hiyo ilimpa wakati mgumu sana Bitungu, hata mama Juliana alilijua hilo. Lakini kwa vile alikuwa akimpa pesa nyingi kijana huyo, akajikuta anazoea mpaka mwishowe akawa hataki njia nyingine zaidi ya ile aliyofundishwa na mwanamke huyo.

Tabia hiyo ndiyo iliyosababisha Bitungu akaachana na demu wake, Siliani baada ya kukutana naye siku moja na kutaka kumpitia kwa njia aliyofundishwa na mama Juliana. Mzozo mkubwa uliibuka mpaka Siliana akataka kumvaa Bitungu.
***
Baada ya siku hiyo kwa mama Juliana, Bitungu aliendelea na mambo yake kwa ahadi ya kukutana siku tatu mbele. Walikuwa wakikutana mara tatu au nne kwa wiki moja yenye siku saba.
***
Siku hiyo isiyokuwa na jina, simu ya Bitungu iliita, alipoangalia jina halikuwepo, akaipokea …
"Haloo…""Haloo, naitwa Juliana, tulikutana benki…"
"Ooo, baby wangu, vipi?" alisema Bitungu…
"Poa, mzima wewe?"

"Mi mzima sweetheart, umenitosa halafu mbaya zaidi siku ile namba hukunipa zaidi ya wewe kuchukua ya kwangu ukasema utanibip lakini hukufanya hivyo."
"Mambo mengi jamani, nisamehe bure."
"Nimeshakusamehe baby, niambie."
"Uko wapi?"

"Nipoo…nipo wapi hapa, panaitwaaaa…yaani ni jirani na Amana…"
"Ndiyo unaishi hapo au?"
"Hapana, kuna mtu nilikuwa naongea naye ndiyo nimemalizana naye sasa. Je, naweza kukuona? Si uliniambia unaishi Ilala!"
"Yap! Unataka nije?"

"Ndiyo maana yake jamani Juliana…"
"Basi nakuja.""Chukua Bajaj, ukifika jirani na Amana nipigie please."
"Poa."

Bitungu alijipongeza sana kupigiwa simu na binti mzuri kiasi kile, hakuamini hata chembe hivyo alikaa mkao wa kusubiri…"Ikibidi nisimkawize, leoleo nikamalizane naye. Tena siku ile alionekana kama ni mtoto wa mjini, si ajabu anajua kutumia njia ile," alisema moyoni Bitungu.




Ndani ya dakika kumi, simu ya Bitungu iliita, aliyepiga Juliana…
"Umefika wapi baby?"
"Ndiyo nashuka kwenye Bajaj hapa Amana."
"Oke, utaona baa kushoto kwako kama unaenda Boma."
"Nimeiona."
"Njoo hapa."

Juliana alitembea hadi kwenye baa hiyo na kuungana na Bitungu ambaye alisimama na kumbusu Juliana baada ya kufika huku akimwita baby kibao.
"Karibu ukae mama."

"Asante," aliitika Juliana. Moyoni Bitungu alipenda sana anavyomwita Juliana mama na yeye amwite baba. Au baby na yeye amwite sweet lakini Juliana kwake ilikuwa ni mapema sana kufanya hivyo.
Juliana alifikia kuagiziwa kinywaji chenye pombe lakini si kali. Katika kunywa, maongezi yalikuwepo pia. Muda mwingi Bitungu ndiye alikuwa msemaji, Juliana anajibu mpaka pale naye Juliana alipoanza kuchangamka kwa pombe wakaanza kwenda sawasawa.

"Kwani we huna mchumba?" aliuliza Juliana kwa sauti ya kukatakata…

"Sina mama."
"Mpenzi je?"
"Hata mpenzi sina."
"Mmmh! Rafiki wa kike je?"
"Pia sina."

"Huo uongo sasa."
"Hata huo sina."
"Nini?"
"Huo uongo."

Kifupi walishakolea wote, wakacheka na kuendelea kunywa. Mara simu ya Bitungu iliita, akawahi kuangalia kwenye kioo…
"Huyu mwanamke naye msumbufu sana," alisema.
"Ni nani kwani?"

"Ah! Mama mmoja hivi, ananisumbua sana."
"Anataka nini kwani?"
"Eti anataka awe mpenzi wangu."
"Si umkubalie sasa?"

"Baby, kumbe hunipendi wewe. Nimkubalie wakati ni mke wa mtu."
"Sasa kama ni mke wa mtu kwa nini anakufuatafuata?"
"Si ndiyo namshangaa, halafu muda mrefu sana sipokei lakini haachi kunipigia."

"Achana naye, ukiona hivyo si ajabu hata huyo mume hana anajishaua tu," alisema Juliana bila kujua kwamba mwanamke mwenyewe anayepondwa hapo ni mama yake mzazi na wala maneno ya kijana huyo hayakuwa yakitoka moyoni.
"Sasa inakuaje baby?" Bitungu aliuliza swali hilo…
"Kuhusu?"

"Si tunaondoka?"
"Kwenda wapi?"
"Aaa! Maeneo."
"Maeneo ndiyo wapi?"

INAENDELEA...

Powered by Blogger.