KARIBU USOME HADITHI NZURI ZA KUSISIMUA

Chombezo : Ni Shiida! Sehemu Ya Pili (2)

LADHA MARIDHAWA: LOVE STORY: ni shida - 2
Bitungu akagundua kwamba, Juliana ni msichana anayependa uwazi, hivyo akaamua kumpasukia…
"Twende gesti."
"Poa," Juliana alijibu kwa mkato kiasi kwamba, Bitungu alihisi hajasikia japokuwa alisikia…
"Umejibuje?"
"Nimesema sawa."
"Sawa nini?"

"Si umesema twende gesti."
"Oke, basi tumalizie vinywaji vyetu twende."
Juliana alivuta kinywaji chake na kuanza kusimama huku Bitungu naye akimalizia, naye akasimama. Simu ya Juliana iliita, akaiangalia na kusema…
"Mama huyo anapiga." Alimwangalia Bitungu kama anayeomba msaada kwake amjibu nini mama yake…

"Pokea, mwambie upo kwa rafiki yako."
"Haloo mama…eee….nipo kwa Zaina hapa nyuma…sichelewi mama…kweli tena."
Baada ya kukata simu, Bitungu alimuuliza Juliana kama anaishi na baba pia…
"Ndiyo, lakini baba si mkali sana lakini hata mama yangu si mkali kabisa ila hapendi ujingaujinga japokuwa na yeye huwa simwelewagi."

"Humwelewagi kivipi?"
"Yaani nahisi kama anachepuka."
"He! Yaani mama yako unasema anachepuka, we vipi?"
"Si ndiyo ukweli lakini."
http://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Walifika gesti, wakapanga chumba kwa siku nzima japokuwa Juliana alisema hataweza kulala.
Ilikuwa dakika chache lakini zenye mahaba mazito kwani Bitungu alianza na kumchezeachezea Juliana sehemu mbalimbali za mwili wake huku msichana huyo naye akionesha ushirikiano wa hali ya juu.
Mchezo ulipoanza, Juliana alishtuka na kuruka baada ya kubaini kwamba, Bitungu alikuwa akitaka kumpitia kwa njia nyingine.

"He! Vipi tena?" aliuliza Juliana akiwa amemsukumia mbali Bitungu…
"Kwani vipi?"
"Kwani vipi kivipi? Unakwenda wapi huko?"
"Aaa! Ina maana hujui?"

"Aka! Sitaki sitaki sitaki, kumbe ndivyo ulivyo, doo! Basi mi naondoka."
"Sikia Juliana. Unajua kupenda kunajumuisha na mambo mengi ikiwa ni pamoja na kukubaliana na ujinga wa mwenzako, kama mimi nakupenda kweli, hata ujinga wako unakuwa wangu, siwezi kusema sikupendi kwa sababu una kidonda, sasa kama umeona mimi nina kidonda ambacho kina kukera kubaliana nacho tu," alisema Bitungu kwa sauti iliyojaa ushawishi wa hali ya juu.



"Pamoja na lugha tamu anko, lakini mimi siko tayari kwa matumizi hayo, sijawahi kujihusisha hata siku moja," alisema Juliana kwa sauti iliyojaa masikitiko…
"Hata hiyo uliyoizoea si ulianza siku moja kwanza Juliana?"
"Ndiyo."

"Sasa inakuwaje unashindwa hilo?"
"Hapana kwa kweli, siwezi anko."

Bitungu aliamini kuwa, Juliana alikuwa hajui hata hiyo njia halali. Na kama atakuwa anajua basi ni juujuu tu lakini si kwa kina maana alijua mademu wote wa mjini ni watundu siku hizi.
"Angekuwa mtundu kwanza asingeniita anko wakati tumekuja wote mpaka chumbani gesti sasa uanko unatokea wapi?" alijihoji mwenyewe Bitungu akiwa amekata tamaa kupita kwa Juliana kwa kutumia njia ile nyingine.

Ilibidi akubaliane na matakwa ya Juliana, kwenda kwa njia ya kawaida ambapo walianza kwa kuchezeana kwanza huku Juliana akiwa tayari ameanza kuhema kwa nguvu kuashiria kwamba, tayari alikuwa amefika mbali na alichotaka kwa wakati ule ni uhalisia tu.

Bitungu aliishangaa sana hali ya Juliana, hasa alipomwona amebadilika kwa kila namna, akihema sana, akiwa hatulii kitandani na zaidi sana akionesha macho yaliyojaa ulegevu wa kimahaba.
"Juliana baby," aliita kijana huyo.
"Niambie anko…"

"Aaah! Mimi siyo anko wako bwana, mimi ni mpenzi wako."
"Jamani…hilo litakuja automatiki," alijibu Juliana huku akiweweseka pale kitandani.
Ni Juliana ndiye aliyetoka kitandani na kusimama kisha akamshika mkono Bitungu na kumtoa kitandani, wakasimama wote.

Juliana alianza kumvua nguo jamaa akianzia na juu hadi chini. Alipomaliza akajigeukia yeye, akajivua nguo zote na kutangulia kitandani.
***
Mama Juliana alimpigia simu Bitungu kwa dakika tano nzima lakini ilikuwa ikiita tu bila kupokelewa…
"Huyu leo ana nini? Mbona si kawaida yake kutopokea simu, ameiacha wapi?" alisema mwanamke huyo huku akiwa amejiinamia, akakumbuka kwamba, Juliana naye licha ya kumwambia yupo jiraji na kwamba hatachelewa kurudi lakini alikuwa hajarudi, akashikwa na hasira…

"Huyu mtoto naye mpaka saa hizi? Amekwenda wapi? Na hii tabia ya kuchelewa kurudi nyumbani kisa yuko kwa majirani ameianza lini kwanza?"

Alichukua simu na kumpigia Juliana. Simu iliita kwa muda mpaka ikakata yenyewe. Wakati simu hiyo ikikata, Juliana alikuwa katikati ya uwanja akiserebuka na Bitungu.

Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa kijana huyo kuoneshwa staili mbalimbali za uwanjani na mwanamke. Hakuzoea, mara nyingi yeye ndiyo anayekuwa kiongozi wa staili.
"Baby, twende chini sasa," alisema Juliana akiwa tayari ameshuka…
"Baby turudi kitandani…"
"Baby wewe kaa kwa hivi.

"Baby geukia kule mimi nigeukia kwa hivi."
Hayo yote yalikuwa maneno ya Juliana kwa Bitungu kiasi cha kumchanganya kijana huyo na kujikuta hajui amweke kwenye fungu gani msichana huyo...

"Kumbe kuniita baby lilikuwa suala la muda tu," alisema moyoni Bitungu akiwa anatoka jasho na kufutwa kwa shuka huku akiangaliwa usoni kwa macho yaliyojaa mahaba mazito kwake.
Hata pale Bitungu alipotangaza kuwasili kwenye kituo cha safari yake, Juliana alimwambia bado, avute subira kidogo.

Bitungu alipata mtihani mzito, alikuwa akijizuia kwa kupunguza kasi, wakati mwingine alipozidisha kasi na kutangaza kufika safari yake akaambiwa bado, alisema moyoni…
"Nimepatikana leo."

INAENDELEAA
Powered by Blogger.