KARIBU USOME HADITHI NZURI ZA KUSISIMUA

Chombezo : Ni Shiida! Sehemu Ya Saba (7)

 LOVE STORY: ni shiidaI - 4
Siku hiyo, Bitungu kwa hasira za kumkosa kwa muda mrefu Juliana, msichana aliyempenda sana na furaha ya kumpata baadaye, aliamua kumchakaza mama Juliana kwa mechi kali isiyokuwa na mfano huku akitumia njia ambayo mama Juliana ndiyo anaitaka.

***
Mama Juliana alikuwa sebuleni kwake amechoka sana na mechi ya Bitungu, akamwita mwanaye…
"Abee mama."
"Kaa hapa."
Juliana alikaa sawasawa na maelekezo ya mama yake…
"Bitte ni nani?"

"Mama si nilikwambia nimesoma naye kule chuo."
"Unaweza kumfuata ukamleta hapa?"
"Ndiyo."

"Mfuate haraka sana."
Kwa Juliana zilikuwa habari njema kwani ilikuwa saa kumi na mbili jioni, kupewa kibali cha yeye kutoka Ilala kwenda hadi Gongo la Mboto ni furaha kwake. Alipanga akitoka tu akaonane na Bitungu popote alipo.

Alijiandaa harakaharaka na kuchomoka zake…
"Haya mama nakwenda kumleta," alisema Juliana akiwa na amani jambo lililomshangaza sana mama yake.



"We hebu rudi hapa kwanza," alisema mama mtu. Juliana alirudi huku akionesha sura ya mshangao.
"Mbona umefurahia sana safari ya kumfuata huyo shoga yako asiyekuwa na akili kama wewe?"
"Hapana mama, nipo kawaida tu ila nimefurahi sana kwa sababu najua sina tatizo baya kama unavyonifikiria zaidi ya kwenda kumleta Bitte."
"Haya nenda."

Juliana alisimama kwa mikogo, akaondoka, eti anakwenda kumleta Bitte kwa mama yake kama alivyomuagiza.Juliana alipotoka nje tu, akaweka simu yake sawa na kumtwangia Bitungu…
"Baby mambo jamani?""Poa. Vipi wewe mpenzi wangu? Nimekumisi sana mwenzako."
"Mimi je?"

"Kumbe na wewe umenimisi mpenzi wangu?"
"Sana."
"Uko wapi kwani?"
"Nipo mitaa ya Sinza."

Bitungu aliposema yupo mitaa ya Sinza, Juliana akakumbuka ile hali ya mwanzo ya mama yake kusema yupo Sinza Palestina na Bitungu pia…"Huko Sinza kuna nini leo, halafu hata mama yangu alisema yupo Sinza Palestina leo lakini yeye alisharudi."

"Mimi kuna mtu namsubiri dear," alisema Bitungu akiogopa kusema alikuwa ana mtu angeulizwa ni mtu gani? Si mnajua tena mambo ya wivu."Oke, naweza kukuona leo mpenzi wangu?"
"Wewe tu, si uje.""Oke, nipe kama nusu saa."

Juliana alipanda daladala kwenda Sinza kuonana na Bitungu. Moyoni aliamua kwamba, atakapokuwa kule ampange Bitte kuhusu mama yake. Alitaka amwambie kwamba kesho yake aende nyumbani kwao ana shida naye.
***
Bitungu alimpokea Juliana akiwa baa ambayo pia ina gesti. Na gesti hiyo ndiyo aliyokuwa amechukua chumba akiwa na mama Juliana. Sasa alitaka akae na Juliana pale baa halafu baadaye ajifanye anakwenda kuchukua chumba ndani ili ampeleke Juliana huko kwenye kitanda alicholala na mama yake.

"Baby sasa umekuja kunisalimia tu au na mambo mengine?" aliuliza Bitungu kwa sauti isiyojiamini.
"Na mambo mengine kama yapi?""Kama yapi, mimi si mpenzi wako jamani?"
"Ee, hata kama, mambo mengine kama yapi sasa?"
"Mambo f'lani yale. Ili nikachukue chumba."

Juliana alicheka huu akinywa soda lakini mwishowe akakubali…
"Haya, nimekuelewa, p..."Bitungu hakutaka Juliana amalizie neno oa kwenye poa, akawa ameshasimama kwenda ndani.

Alichokifanya, baada ya kufika chumbani alitandika kitanda vizuri sana kisha akatoka…
"Twende dear, tayari."Juliana alisimama, wakashikana mkono kwenda ndani huku baadhi ya wateja wakiwaangalia kwa macho pima!Waliingia ndani ya chumba hicho lakini Bitungu alipitiliza chooni na kumwacha Juliana amejitupa kitandani.

INAENDELEAA
Powered by Blogger.