KARIBU USOME HADITHI NZURI ZA KUSISIMUA

Chombezo : Ni Shiida! Sehemu Ya Tano (5)

 LOVE STORY: ni shiidaI - 4
Bwakila aliamua kusamehe na kumpa onyo kwamba akirudia tabia ile sehemu nyingine atajikuta
akibakwa…"Ni kweli mwanangu maneno yako," alisema mama Juliana akitoka na jasho jembamba.

Alikwenda kubisha hodi kwenye mlango mwingine, akafungua mtu mzima f'lani, alipokutana macho na mama Juliana, mtu mzima huyo akaanza kuachia tabasamu…
"Ni wewe?" aliuliza yule mtu mzima fulani…

"Aliye?" alihoji mama Juliana akidhani labda mtu huyo yupo ni Bitungu…
"Tuliyekuwa tukiwasiliana kwenye Facebook, si tumekubaliana kukutana hapa?"
"Akha!" mama Juliana akaondoka hapo, akaenda kugonga mlango chumba kingine ndiyo akatokea Bitungu sasa.

Mama Juliana aliingia ndani na kuangukia kitandani huku akichuruzika machozi…
"Vipi tena?" alihoji Bitungu…"Kidogo nibakwe."
"Kidogo ubakwe! Na nani?"

Mama Juliana alisimulia kisa chote kuanzia kuzimikiwa na simu na yaliyompata ndani ya gesti ile.
"Duu! Pole sana.""Kiranga chote kimeniishia," alisema mama Juliana huku akijifuta machozi na kumkumbatia kijana huyo kama anayasema ‘afadhali nijipoze na wewe sasa'.

Bitungu alichoshwa sana na majambozi ya Juliana mwenyewe, sasa mama mtu kufika pale naye akawa anataka kwa sehemu yake.Alimchombezachombeza kijana huyo kwa kumshikashika sehemu mbalimbali za mwili ili kumchajisha na huku akimbembeleza kwa maneno matamumatamu ya mahaba…
"Bitungu…"

"Naam…"
"Unajua wewe ulitakiwa uwe mume wangu?"
"Kweli mpenzi?""Kweli kabisa. Wewe unadhani nani alistahili kuwa mume wangu miye?"
"Ni mimi mpenzi."

"Kumbe unajijua, yaani nakupenda wewe mpaka basi jamani," alisema mwanamke huyo mtu mzima huku akiwa anashughulika na kipaza sauti.Ilifika mahali Bitungu akachaji, kila kona ya mwili wake ikakaa sawasawa kwa mechi ya kirafiki isiyokuwa na refa.
http://deusdeditmahunda.blogspot.com/
"Leo nataka njia ile nyingine," alisema Bitungu lakini mama Juliana akakataa…
"Mimi nataka njia ya siku zote mimi na wewe," alisema mwanamke huyo huku akimfosi kijana huyo kuanza mpambano kwa kumwingiza mwenyewe uwanjani.

Ulikuwa mpambano wenye kumwelemea Bitungu kwa namna yoyote ile. Alionesha uchovu wa waziwazi mpaka mwanamke huyo akamuuliza…"Mpenzi leo vipi, umevurugwa na nani kabla yangu?" aliuliza mama Juliana lakini kabla hajajibiwa, simu ya Bitungu iliita.

Kwa kuwa pozi lao la muda huo, mama Juliana ndiye aliyekuwa upande wa stuli yenye simu, aliichukua na kuiangalia skrini kidogo aliyepiga huku akiipeleka kwa Bitungu. Kwenye skrini ilionekana jina Julie…

"Ah! Nitampigia baadaye," alisema Bitungu akikata simu hiyo kisha kuizima kabisa…
"Julie ndiyo nani?" mama Juliana aliuliza akiwa amebadilika sura ghafla.
"Mtoto wa shangazi yangu bwana, anataka nimtafutie kazi."
"Mh!"

"Mbona umeguna?"
"Nimeguna maana na mimi nina mtoto anaitwa Julie," alisema mwanamke huyo akimaanisha kifupi cha Juliana ni Julie lakini Bitungu akampuuza na wala hakutaka kujiongeza kwamba pengine Julie wa mwanamke huyo ndiye Juliana anayemjua yeye.

Aliamini Julie si Juliana akafurahi moyoni kwamba, amemchenga mwanamke huyo kwa kumsevu Juliana kama Julie…"Mbalimbali, huyu ni Julie mtoto wa shangazi yangu. Labda wewe ndiyo uwe huyo shangazi yangu," alisema Bitungu…

"Naweza kuwa, maana hata mimi Julie wangu anatafuta kazi," mama Juliana alitia neno kidogo likamwingia Bitungu kwani ni kweli Juliana alimwambia anatafuta kazi wakati wamekaa baa walipokutana kabla ya kwenda gesti.

Ikumbukwe kwamba wakati wanayazungumza hayo walikuwa wakiendelea na mechi kama kawaida kwa kutumia njia ile ya mama Juliana na si ya Juliana mwenyewe.

Mama Juliana ndiye aliyeanza kutangaza kupata ushindi kwani Bitungu alikuwa mchovu kwa wakati huo.
Ilishindikana kabisa kwa Bitungu kukamilisha ngwe ya safari yake na hivyo kutoka uwanjani akiwa ameshindwa kukomboa.
***
Ilikuwa siku ya pili, simu ya Juliana iko mezani sebuleni, mama yake akiwa anapita hapo, mara simu hiyo iliita, akaangalia kwenye skrini huku akimwita Juliana mwenyewe…
"Simu yako inaita huku wewe…Bituu," alisema mama Juliana.

Juliana alifika akiwa mbio na kuhema juu…
"Bituu anapiga."Juliana aliichukua simu na kwenda mbali…
"Haloo…sijambo…niko nyumbani mbona…haya sawa…haya."
Baada ya kukata simu, mama Juliana aliita…
"Juli…"

"Abee mama."
"Bituu ni nani?"
"Siyo Bituu mama, nilikosea kusevu tangu mwanzo, ni Bitte."
"Ndiyo nani?"

"Nilisoma naye kule chuo mama."
"Hebu namba yake," alisema mama Juliana huku akinyoosha mkono kutaka simu ya mwanaye huyo.

INAENDELEA
Powered by Blogger.